gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Mlipuko umetokea kwenye mgodi wa makaa ya mawe mjini Tabas,500km toka tehran,watu 30 wameuawa na 17 kujeruhiwa, wengine wakiaminika kunasa ndani ya mgodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Migodini ajali kawaidaMyahudi anahusika?
Kama israel watakua wamehusika basi wako desperate sana,kulipua mgodi!!Ma Ayatollah warushe taulo mchezo uishe, wataisha
Upo kijiwe gani cha draft kaka? Sijacheza kitambo.Hivi Iran si ndo anataka dunia nzima wawe waislamu kwa nguvu?
StesheniUpo kijiwe gani cha draft kaka? Sijacheza kitambo.
Iran waliwahi kuwalalamikia Israel kwamba wamewaibia mawingu yaoMlipuko umetokea kwenye mgodi wa makaa ya mawe mjini Tabas,500km toka tehran,watu 30 wameuawa na 17 kujeruhiwa, wengine wakiaminika kunasa ndani ya mgodi
MgodiInawezekana haukuwa mgodi halisi ila ni kiwanda cha underground cha kuteng'eneza silaha na Myahudi akapita nacho.
Inawezekana pia..maana ajali ya rais wao wameanza kimshutumu zayuni....Mambo ya pagers....japo walishatoa ripoti ya uchunguzi kuwa ni climate changeMgodi
Habari za kumshutumu zayuni ni za kuungaunga watu wajipe furahaInawezekana pia..maana ajali ya rais wao wameanza kimshutumu zayuni....Mambo ya pagers....japo walishatoa ripoti ya uchunguzi kuwa ni climate change