Tetesi: Irani na Israel sio Maadui. Tulidanganywa

Tetesi: Irani na Israel sio Maadui. Tulidanganywa

Mrengwa wa kulia

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,091
Reaction score
3,695
Kuna uvumi Iran inawasaidia Israel kwa kujifanya adui wao ili awaingize mkenge adui wa kweli wa Israel, amesema Noah mahakouf Hammed wa Lebanon

Ameshikilia point Tatu kwamba
1. Iran Ana play part ya kupoteza maboya kwa watu Huku Aki side na israel kwa kuvujisha Siri za kambi,

Anatuhumu kwamba Iran ndo wametoa location kwa Kiongozi wa Hamas , Kasema kwamba hata hayo wanayosema wanajifanya kushambulia baadae ni uhuni wa kuhadaa wana mapinduzi wa Kweli!

Hayo yote kayatema nyongo baada ya IRAN Tena kumpa mwaliko kiongozi wa HAMAS aliyebaki Kwenda Tehran !

Akisema ni mbinu Iran wanaitumia kwa ujanja waki side na Israel,

Leo hii Kiongozi aliyebaki bwana Khaled Mashal HAMAS amepewa mwaliko rasmi kutembelea Tehran!

Wana mashariki ya kati wengi wameingiwa na mashaka juu ya Iran,

2. Wengi Wamesema hata makombora kadhaa ambayo yalirushwa miezi kadhaa Kwenda israel yakitokea IRAN hayakuwa ya kweli,
 
Bikra 12 ......
Unapewa nguvu ya kufuck madem 100..
Mkeo wa ndoa anakuangalia unavyosex..
Hutumii kondom...
Mtazaliana mbinguni...
Konyangi na k can't kama mto ruvu au wami...
Ukifa ukiwa mtoto sijui utasubir ukue uko mbinguni ndo upewe madem zako.....
 
Bikra 12 ......
Unapewa nguvu ya kufuck madem 100..
Mkeo wa ndoa anakuangalia unavyosex..
Hutumii kondom...
Mtazaliana mbinguni...
Konyangi na k can't kama mto ruvu au wami...
Ukifa ukiwa mtoto sijui utasubir ukue uko mbinguni ndo upewe madem zako.....
Ukinionyesha Aya moja ya Qur'an inasema hivyo, nakuja imba kwaya za Paulo hata kama vile najua alimuota shetani sio Yesu.
Ukristo na uwongo ni damu damu.
 
Anaye kuambia Israel na Iran marafiki ni nani? Hizo ni propoganda za Saud Arabia, Jordan, UAE, Baharain, Egypt na Morocco labda 😄
 
Bikra 12 ......
Unapewa nguvu ya kufuck madem 100..
Mkeo wa ndoa anakuangalia unavyosex..
Hutumii kondom...
Mtazaliana mbinguni...
Konyangi na k can't kama mto ruvu au wami...
Ukifa ukiwa mtoto sijui utasubir ukue uko mbinguni ndo upewe madem zako.....
Kuna mauwongo mengine hata kama kasema Akibaru mudi, yanapaswa kupingwa kwa nguvu zote

Labda mtoto mchanga akifariki pengine itambidi adubiri kubalehe ndo akabidhiwe bikra zake
 
Hizo news zimesambaa middle East yote.. hawaiamini Kabisa Iran haswa baada ya kifo cha Haniyah wanahisi Iran ndio wamemuua.. mleta mada yupo sawa ila ni uvumi Arabs wote wamegoma kuwaamini Iran..
 
Wayahudi weusi wamewakaa kooni waarabu na waislamu kwa ujumla, chuki zimewajaa ndani ya vifua vyao, watoto na wazee wanauawa huko Palestina wao wanafurahia.
Watu wanauwa congo na Afrika ya kati hao waarabu na wazungu mnaowaabudu hawana hata habari
 
Back
Top Bottom