Tetesi: Irani na Israel sio Maadui. Tulidanganywa

Wayahudi weusi wamewakaa kooni waarabu na waislamu kwa ujumla, chuki zimewajaa ndani ya vifua vyao, watoto na wazee wanauawa huko Palestina wao wanafurahia.
Wameyataka wenyewe waarabu wanaendeshwa na hisia kuliko Akili. Israel wanatumia Akili kubwa
 
Inategemea kama umevaa dera au kanzu kwa upana wake.
Wacha story leta aya ya Qur'an inayo sema kuna sex peponi na mke wako anatazama unasex na wanawake huko peponi. Au hizo ni zile nyimbo mnazo imba kila kukicha eti bikra 72,, mkinipa aya ya Qur'an nakuja imba nyimbo ya chini chini ya mti, au juu juu ya mti Paulo usingizi ulimkolea pale chini ya mti, kutazama juu akaliona shetani akasema Yesu. Au nionyesheni aya inasema kuna kuna ulevi mbinguni. Labda ulevi usio ulevi hauleweshi πŸ˜„
 
Mwambie mchambuzi wako aachane na uchambuzi mbuzi. Ajaribu kuchambua timu za Simba na Yanga.
 
🀣
Waache wachonganishane watafutane gizani
 
Kwani ni nani alianzisha hizo stori?Ninyi wenyewe. Muulize sheikh Kipoozeo.
 
Ayatollah ndio alipress button ni MOSSAD pure
 
Hizi propaganda hazina nguvu.
 
Day 9 iran anabaki kutoa vitisho tu. Mnao subiri irani ajibu mapigo mkalale tu
 
πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜…

Unaweza kumuita Diamond akuimbie
 
Mambo mengine yanahitaji utaahira wa kiwango cha SGR kuyaamini. Hizi hadithi za Sungura na Fisi zilifaa zikome miaka 1000 iliyopita. Ni hatari sana..
 
Ukinionyesha Aya moja ya Qur'an inasema hivyo, nakuja imba kwaya za Paulo hata kama vile najua alimuota shetani sio Yesu.
Ukristo na uwongo ni damu damu.
Kwa hiyo mahurulain hawapo? Afadhali wewe umetunga Qur'an yako isiyo na mabikra 72 na Mito ya Pombe na kuachana na hekaya za kufikirika za Mudy.
 
Mmeanza kuwakataa tena!?
 
Paulo ni nani na anahusiana vipi na Ukristo!?
Anyaways: Maustaadhi/Masheikh wenu wenyewe ndo wanaotoa mawaidha kila siku wakiwafariji kuwa mmeandaliwa masuria 72 huko peponi na vijito vya pombe! Leo hii unataka sisi ndo tukuthibitishie!?
Pure nonsense kabisa. Ukatazwe kunywa pombe duniani uikute mbinguni? Kama pombe ni haram basi mbinguni kunakaaje kitu haram. Walisahau kusema kuna mazizi ya nguruwe huko
 
Hii hutumika kuwa motivate vijana na wababa wa huko πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…