Iranian Elections: Ahmedinejad's Victory and The Aftermath!

Although, I dont like who won, the most important thing it that Iranians made their point loud and clear, it doesn't matter who won.
 

Waswahili wanasema "Vita ya panzi.........!!
 
Although, I dont like who won, the most important thing it that Iranians made their point loud and clear, it doesn't matter who won.

Sasa kazi kwetu na Watanzania lol. Tuna furahia tu wenzetu wakidai demokrasia wakati nchi yetu yenyewe tunaiona. I hope Kui you will use the same passion you have on the Iranian issue to Tanzania. Tuache kuangalia wenzetu sana wakati sisi we have the same situation and we are not doing anything about it.
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=sW3HVHGvgkE&fmt=18"]YouTube - Broadcast Yourself.[/ame]
 
Hii issue ya Iran nadhani ni kubwa kuliko wengi wetu tunavyofikiria, nimekuwa nafuatilia tweets za haya maandamano ni noma tupu.

Revolutionary Road...
 

Viko jikoni vinaiva
 
Ee! bwana eh!, nilikuwa sijaangalia news, Protesters wamefika white house!...
 
Unajua niliona New York, tangu jana walikuwa wanaprotest, sasa naona leo wale wa DC wameamua kumtolea uvivu President.

Lakini, mwana F, what do you think wanavotaka Obama awe more vocal on the issue?, I think alivoongea inatosha...what do you think??
 
Hao protesters ni Wairan waliopo Marekani au ni wakina nani?

Hao ni Protesters waliopo Marekani wengi wao ni Iranian- Americans,lakini pia wapo watu wengi wa mataifa mengine ambao wanaona uchaguzi wa Iran haukuwa fair,kuna wanaosema waziwazi kuwa Utawala wa Obama unapaswa uingilie kati hali Tete iliyopo Iran.

Mgogoro huo unakwenda pabaya,kwa sababu serikali ya Iran inatumia nguvu kuvunja maandamano hayo,lakini watu bado ni wengi na wanazidi kuingia mitaani.....Inaonekana Rais Obama atatoa tamko la serikali ya US kuhusu hali hiyo ya Iran.Pentagon inasema imeweka majeshi ya US yalipo Persian Gulf katika hali ya tahadhari.

Licha ya Washington DC kuna maandamano makubwa New York,San-Fransisco na Los Angeles,Miji yote hiyo ina Idadi kubwa ya Iranian-Americans.
 

Unajua tatizo watu hawajui basic diplomacy. Obama can't speak out as such mpaka ajue what is the likely conclusion to this matter. Unakumbuka elections za Kenya? Bush alikimbilia kutoa pongezi mwishoni akabidi a retract the statement. I think what Obama is doing is wise.
 
Yeah! Nitengenezee na mimi.

How much??

Lile bakuli la pink ndo kubwa maana unavopenda popcorn..., lakini wewe hulipendagi unasemaga linanifaa mimi, kwani nani atakuona si tuko ndani unless kama unataka kutoa TV nje? lakini nzitoo, 100 inches?? labda mwite nyani ngubu akusaidie. Na vyombo vingine vyote vichafu, mi jana nilichoka sana baada ya "old schools" nikaamua kulala hivo hivo. Hata sikuoga.

(I still have hangover)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…