Iraq itasimama tena

Dah kuna maeneo umenitajia ngoja tusimalize utamu wake hapa...kuna post yake rasmi itakuja...na Mungu akipenda mwakani nitaenda mitaa hiyo

Ukienda fikia Najaf hasa wakati wa Ashura , tukiwa hai unitafute nikupe watu wa kukupeleka maeneo mengi pale, watu wa Najaf wakarimu sana hasa kwa watu weusi, Iraq ina menngi ngoja niishia hapa pia
 
Ukienda fikia Najaf hasa wakati wa Ashura , tukiwa hai unitafute nikupe watu wa kukupeleka maeneo mengi pale, watu wa Najaf wakarimu sana hasa kwa watu weusi, Iraq ina menngi ngoja niishia hapa pia
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Babylon ni wapi?

Babylon was a key kingdom in ancient Mesopotamia. The city was built on the Euphrates river and divided in equal parts along its left and right banks, with steep embankments to contain the river's seasonal floods.Wikipedia

Capital: Babylon
Founded: 2300 BC
Location: Hillah, Babil Governorate, Iraq
Abandoned: c. AD 1000
Weather: 16°C, Wind NW at 18 km/h, 28% Humidity

Medecins Sans Frontieres ( MSF) where I worked the base was in Najaf few Kilometers . Najaf Baghdad is 60km the city is in between Najaf and Baghdad , passing Karbala.
 
Then Babylon shall never rise again alisema Alpha Blondy
 
Mshana nyuzi zako zinahadhi ya 5* unatisha bro sichoki ata siku 1 nasubir upate desa lako niendelee kuipata history ya mashariki ya kati
 
Mshana nyuzi zako zinahadhi ya 5* unatisha bro sichoki ata siku 1 nasubir upate desa lako niendelee kuipata history ya mashariki ya kati
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji109] [emoji123] [emoji121]
 
Ngoja nikae Hapa ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…