Iraq itasimama tena

Iraq itasimama tena

sorry, jana sikuwa katika mazingira mazuri hasa nlipokuwa naona kuna gari nissan nyeupe kila napokata kona nayo inakata to tail me. so sikuweza kukujibu. anyway..... mimi ni mpenzi wa historia. nmesoma archaeology na kiasi flan anthropology . so nikisema sisomi hostoria ntakuwa muongo sana. hivyo kinyume chake is true. naufaham mji wa ninaw kwanza kupitia historia ya kwenye biblia na baadaye kusoma waandishi mbalimbali archaeologists wakizungumzia mambo mbalimbali ya kale. knimeuliza ni lini ulisimama kuwa ni mkubwa au maarufu sana duniani.hakuna ulikuwa maarufu miaka hiyo huko iraq lakini si kuwa kilikuwa ni kitovu cha biashara kubwa sana duniani. kuna miji kadhaa mbayo ntakutajia ilikuwepo duniani na ikapotea ....

  • JERICHO: The world's largest city in 7000 BC. ...
  • URUK: The world's largest city in 3500 BC. ...
  • MARI: The world's largest city in 2400 BC. ...
  • UR: The world's largest city in 2100 BC. ...
  • YINXU: The world's largest city in 1300 BC. ...
  • BABYLON: The world's largest city in 700 BC. ...
  • CARTHAGE: The world's largest city in 300 BC.
nadhan umesoma sana ahabri za babilonia na jinsi ambavyo Ulisambaratika. kuna falme ambazo ungeweza ku zirefer kusema maybe zinaweza kurudi tena. lakini kwa ninawi hakuna jipya litakalo tokea huko mark my words.its done its done.haukuwa na impact kubwa sana katika siasa za dunia. nawe unajua vizuri kuna miji ambayo ilikuwa na impact kubwa kuna tawala zilikuwa na impact kubwa kama Roman Empire, Ottoman Empire, British Empire n.k hizi unaweza jiuliza je zinaweza kuja rudi tena? ninawi haujawa na impact katika ulimwengu huu.

Mmh GuDume unasoma historia kweli? Hasa ya Iraq na miji yake? Unaijua vema historia ya Ninawi? (Nineveh)?
Miaka hiyo Ninawi ndio ulikuwa mji wenye maendeleo makubwa duniani pamoja na wasomi wengi
 
Tutaendelea kuna mambo namalizia kuweka sawa... Unajua hapo mashariki ya kati kuna siri kubwa sana hasa kwenye ishu nzima ya uumbaji
Ni kweli kabisa middle east wana historia ndefu sana.
Watu wengi mashuhuri wamepita hapo.
Iraq imetandikwa makombora na Iran halafu mataifa mengine yakaipiga tena alipovamia Kuwait lakini ukiangalia Baghdad huwezi sema ilipigana vita.
Nyumba bado zipo imara sijui walikuwa watu wa aina gani ajabu kwa kweli.

Kuna mengi sana huko endelea kufukunyua mkuu
 
Kuna jambo la ajabu ambalo wengi hawajalitambua... Nimejaribu kuunganisha dots, nikaingia Google kupata support ya picha na mawili matatu!
-Je unajua chochote kuhusu anguko la mji wa Ninawi na anguko la Saddam Hussein?
-Je unajua lolote kuhusu wairaq wa Mbulu Arusha kulikogunduliwa binadamu wa kwanza na wairaq wa Mashariki ya kati kunakosekana dunia ilianzia hapo!? Angalia mahali ilipo Eden, Ninawi, bahari ya Sham nknkView attachment 568238View attachment 568239matukio mawili ya kufanana yaliyotokea katika nchi moja kwa tofauti ya maelfu ya miaka! Nitarejea kwa mahesabu yakeView attachment 568240View attachment 568241
Kuna ufunuo hatujafunuliwa, yanayotokea mashariki ya kati ni unabii, unabii hauna budi kutimia.... Ni kipindi tu kitapita.... Achana na ukristo na uislam kuna makubwa kuliko hizi imani
Unaposoma misahafu unashawishika kabisa dunia tunayoifahamu ilianzia mashariki ya kati.... Hapa mahali hapatakaa paangamie kamwe.... Mbeba maono hafi.... Ni lazima unabii utimie
Hii ni part one nimetoka meditation naingia kilingeni.....
Stay tuned!

Sent using Jamii Forums mobile app
What is your point?
 
Ni kweli kabisa middle east wana historia ndefu sana.
Watu wengi mashuhuri wamepita hapo.
Iraq imetandikwa makombora na Iran halafu mataifa mengine yakaipiga tena alipovamia Kuwait lakini ukiangalia Baghdad huwezi sema ilipigana vita.
Nyumba bado zipo imara sijui walikuwa watu wa aina gani ajabu kwa kweli.

Kuna mengi sana huko endelea kufukunyua mkuu
Ngoja nitulie kaka
 
Mkuu [HASHTAG]#mshana jr[/HASHTAG] tafadhali njoo malizia habari yako sababu nasikia kuna kanuni imetungwa kuwa "Ni marufuku mitandao /vyombo vya habari kujihusisha/kujadili mambo yoyote yaliopo nje ya nchi"
So, please come and finish it
 
Mkuu [HASHTAG]#mshana jr[/HASHTAG] tafadhali njoo malizia habari yako sababu nasikia kuna kanuni imetungwa kuwa "Ni marufuku mitandao /vyombo vya habari kujihusisha/kujadili mambo yoyote yaliopo nje ya nchi"
So, please come and finish it
Mmh hii ni ya lini? Bunge lina hii taarifa?
 
According to the Bible, Abraham was from Ur, which is in Southern Iraq. Isaac’s wife, Rebekah was from Nahor, which is also in Iraq. Additionally, according to legend, Iraq is the site of the Biblical Garden of Eden.[2]
 
According to the Bible, Abraham was from Ur, which is in Southern Iraq. Isaac’s wife, Rebekah was from Nahor, which is also in Iraq. Additionally, according to legend, Iraq is the site of the Biblical Garden of Eden.[2]
Thanx
 
Nisamehe ni pilika nyingi zinazomkabili binadamu yeyote
Anyway nitaongezea machache na mengi nikisubiri kwenu.

Kwa kweli vita Ile ilikuwa ya miujiza sana
Operation desert shield ya mwaka 1991 walipatwa na maajabu makubwa sana

Wazungu walitaka kuionyesha dunia ubabe, wakiwa wamefuatana nchi zote.
Kwanza walishindwa kuanza kumtoa Iraq mapema kwa ajili ya joto na wakasubiri hali ya hewa ibadilike lakini pamoja na kuwepo kwao huko walijikusanya saudia na baadae kuelekea Iraq.

Lakini mambo hayakuwa salama kwao kwani viatu viliyeyuka can you imagine that.
Halafu zile helicopter za Uingereza lynx ambazo flying hours ni 500 lakini zilikuwa zinabadilishwa kwa masaa 27 tu
Bunduki zao zilikuwa jammed eti zinaingia mchanga

Na hata tanks zilikwama kutembea na kisingizio eti mchanga tofauti

Sasa cha kujiuliza tangu lini mwarabu akatengeneza silaha?
Nina maana silaha zote zilizotumika miaka yote kwenye jangwa ni zao (wazungu) halafu wanasingizia mchanga na vumbi.

Jamani kwa kweli kua uone ya dunia Mimi wajukuu wangu hawataboeka kwa kweli ( just kidding, only God knows)

Vijana wadogo waliletwa lakini wengi wameathirika mpaka Leo na compensation hawatapata.

Walichoendea wamekipata kwa maslahi yao lakini sacrifice imefanyika sana

Nisiwachoshe sana
Aisee
 
Ndugu Mshana barikiwa mno, nimeuelewa sana huu uzi. Nikirudi kwenye Bible naona ulichokisema kikitokea, nikimkumbuka myahudi namwona mwarabu akifuata nyayo hizo hizo maana wote waliahidiwa baraka. NB, myahudi ndiye anayeongoza kwa technolojia saivi na ndiyo mtu mwenye akili kuliko binadamu yeyote.
 
Back
Top Bottom