Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa masahihisho ndio maana nilitumia neno NADHANIKama nakumbuka Saddam Hussein alipozaliwa ni Tikrit na sio Mosul.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mganga w JFDah, maandishi yooote, nimependa hapo uliposhift kutoka meditation to kilingeni.
Marekani kashaichukua Raqqa,ameshaweka vibaraka wake waki kurdi na atakuwa pazuri sana katika kuichunguza Syria na muda sio mrefu utaskia ameweka kambi ya Jeshi ku counter ile ya Russia.Usifikiri wamarekani ni wajinga kama unavyodhani,We unaamnini maneno mepesi tu eti kusitisha kugawa silaha ndio wameondoka Syria,Unafahamu walishawapa silaha kiasi gani na mafunzo kiasi gani?.Mambo ya kijasui wewe uanchambua kisiasa.syria marekani kishanyanyua mikono juu,CIA kasitisha kuwapa silaha ISIS,
vita viko ukingoni,
mipango ya marekani sasa ni kuharibu iran,
bado sasa wanajipanga baada ya kumpoza kidogo kim Un,mambo yataanza pale iran mda si mrefu
Sijamuaminisha mtu tafadhaliMtoa uzi ana tuaminisha binaadam wa kwanza Katokea Arusha Tanzanian sijui kisayansi au kiiman hao ndio wasomi wetu na Historia yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali ngoja kuchwehizi mada napendaa kuzifatilia zikikamilika. nusu nusu kama hivi nachanganyikiwaga
Syria ngoma bado ngumu sema tu kwa sasa imetulia.syria marekani kishanyanyua mikono juu,CIA kasitisha kuwapa silaha ISIS,
vita viko ukingoni,
mipango ya marekani sasa ni kuharibu iran,
bado sasa wanajipanga baada ya kumpoza kidogo kim Un,mambo yataanza pale iran mda si mrefu
Marekani kashaichukua Raqqa,ameshaweka vibaraka wake waki kurdi na atakuwa pazuri sana katika kuichunguza Syria na muda sio mrefu utaskia ameweka kambi ya Jeshi ku counter ile ya Russia.Usifikiri wamarekani ni wajinga kama unavyodhani,We unaamnini maneno mepesi tu eti kusitisha kugawa silaha ndio wameondoka Syria,Unafahamu walishawapa silaha kiasi gani na mafunzo kiasi gani?.Mambo ya kijasui wewe uanchambua kisiasa.