Iraq: Wanaharakati wapinga Sheria ya umri wa ndoa kuanzia miaka 9

Iraq: Wanaharakati wapinga Sheria ya umri wa ndoa kuanzia miaka 9

Sheria mpya inayopendekezwa nchini Iraq inayolenga kupunguza umri wa ridhaa ya Ndoa kwa Wanawake hadi miaka tisa, jambo linalolenga kuruhusu Wanaume Nchini humo kuoa Wanawake wakiwa na Umri mdogo imepingwa vikali na Wanaharakati Nchini humo wakidai kuwa ni yenye kuhalalisha udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto ambapo pia inaelezwa kuwa Sheria hii inataka kufuta moja ya sheria bora zaidi za haki za Wanawake katika Mashariki ya Kati, ambayo inawapa Wanawake haki za kudai talaka, malezi ya Watoto, na urithi.

Wanaharakati na baadhi ya Wabunge wa Iraq wanapinga kwa nguvu pendekezo hili, wakisema kuwa litakuwa janga kwa haki za Wanawake na Watoto, Raya Faiq, ambaumye ni Mratibu wa Makundi ya kupinga sheria hii, alisema kuwa pendekezo hili litaruhusu Ndoa za Watoto na kuminya haki za Familia za kukataa Ndoa hizo huku akiweka wazi kwamba sheria hii ingekuwa ni njia ya kisheria ya kuruhusu udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto.

Pia, soma: Bunge la Iraq lajadili mpango wa kuruhusu ndoa za utotoni, kushusha umri wa mabinti kuolewa hadi miaka 9

Aidha Serikali ya Iraq, kwa upande wake, inadai kuwa mabadiliko haya yatasaidia kufuata sheria za Kiislamu, wakisema kwamba yatawalinda Wasichana kutoka kwa mahusiano yasiyofaa lakini hata hivyo, Wanaharakati wanasisitiza kwamba sheria hii itawarudisha nyuma Wanawake na Watoto kwa miaka mingi.

Sheria hii ilipitishwa kwa mara ya pili Bungeni mnamo Septemba 16, 2024, na inatarajiwa kupitishwa tena kutokana na msaada kutoka Vyama vya Shia Nchini humo lakini hata hivyo inaelezwa si Vyama vyote vya Shia vinaunga mkono sheria hii, na bado kuna juhudi kubwa za kupinga.

Mapambano haya ni muhimu kwa Wanawake wa Iraq, ambao wanapinga vikali hatua hii, wakiitaka Serikali kuepuka kurejesha nyuma haki za msingi za Wanawake na Watoto.
Missile of the Nation Yoda

Hao wahafidhina wanaohalalisha ubakaji wa watoto wadogo wa kike ndiyo makafiri haswa.
 
Sheria mpya inayopendekezwa nchini Iraq inayolenga kupunguza umri wa ridhaa ya Ndoa kwa Wanawake hadi miaka tisa, jambo linalolenga kuruhusu Wanaume Nchini humo kuoa Wanawake wakiwa na Umri mdogo imepingwa vikali na Wanaharakati Nchini humo wakidai kuwa ni yenye kuhalalisha udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto ambapo pia inaelezwa kuwa Sheria hii inataka kufuta moja ya sheria bora zaidi za haki za Wanawake katika Mashariki ya Kati, ambayo inawapa Wanawake haki za kudai talaka, malezi ya Watoto, na urithi.

Wanaharakati na baadhi ya Wabunge wa Iraq wanapinga kwa nguvu pendekezo hili, wakisema kuwa litakuwa janga kwa haki za Wanawake na Watoto, Raya Faiq, ambaumye ni Mratibu wa Makundi ya kupinga sheria hii, alisema kuwa pendekezo hili litaruhusu Ndoa za Watoto na kuminya haki za Familia za kukataa Ndoa hizo huku akiweka wazi kwamba sheria hii ingekuwa ni njia ya kisheria ya kuruhusu udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto.

Pia, soma: Bunge la Iraq lajadili mpango wa kuruhusu ndoa za utotoni, kushusha umri wa mabinti kuolewa hadi miaka 9

Aidha Serikali ya Iraq, kwa upande wake, inadai kuwa mabadiliko haya yatasaidia kufuata sheria za Kiislamu, wakisema kwamba yatawalinda Wasichana kutoka kwa mahusiano yasiyofaa lakini hata hivyo, Wanaharakati wanasisitiza kwamba sheria hii itawarudisha nyuma Wanawake na Watoto kwa miaka mingi.

Sheria hii ilipitishwa kwa mara ya pili Bungeni mnamo Septemba 16, 2024, na inatarajiwa kupitishwa tena kutokana na msaada kutoka Vyama vya Shia Nchini humo lakini hata hivyo inaelezwa si Vyama vyote vya Shia vinaunga mkono sheria hii, na bado kuna juhudi kubwa za kupinga.

Mapambano haya ni muhimu kwa Wanawake wa Iraq, ambao wanapinga vikali hatua hii, wakiitaka Serikali kuepuka kurejesha nyuma haki za msingi za Wanawake na Watoto.
Kwani Quran inasemaje?

Kwahiyo hao Wanaharakati wanajikuta wanajua kuliko Quran?

Inamaana Mtume Muhammad (S.A.W) alikosea kuoa binti wa miaka 9?
 
Missile of the Nation Yoda

Hao wahafidhina wanaohalalisha ubakaji wa watoto wadogo wa kike ndiyo makafiri haswa.

Mtoto kwako,mkubwa kwa mwenzio.

Kuna nchi hata hiyo miaka 18 wanaona eti siyo sawa binti kuolewa. Eti mpaka awe 21

Wanaharakati wanailetea bailojia mihemko.

Mwili ukishakuwa tayari kupokea mbegu na kuziprocess kutunga mimba, hiyo maana yake unakupa signal kuwa tunda li tayari kuliwa. Yaliyobaki ni harakati tu za "sociology" zisizo na basis kwenye sayansi halisi ya baiolojia.
 
Kwani unazani hao wairani msingi wa madai hayo unatokana na nini ?
Ni sababu ni sunnah hata Mtume alafanya hivyo.
Lakini ndipo sasa Watu tunabaki na mshangao mkubwa! 🤔🤔
Kwani Iran hio hahaha tunaongea na wajinga hawezi kutofautisha kati ya iran na Iraq. Vipi isiwe US si ndio alio waweka hao viongozi Iraq hio sheria, isije kuwa aliwambia wafate desturi ya kikristo unaposa mtu ana miaka 6, si ndio bibilia zenu zinasema vile. Eti mama yake Yesu alioposwa na Joseph akiwa na miaka 6, afu ndoa ikachekeweshwa bada ya Mariam kubeba mimba ya Yesu ana miaka 6, ukristo huo sijui hilo gazeti la Paulo lilishuhudia vipi hapo, na lile lakuzaliwa mungu wakikristo kwenye zizi la ngo'mbe. Afu mnamcheka baniani kuabudu ngo'mbe 😄 Sijui lini mtafanya tolea jipya mseme alizaliwa chini ya daraja la kigamboni kidogo inaunafuu.
 
Mtoto kwako,mkubwa kwa mwenzio.

Kuna nchi hata hiyo miaka 18 wanaona eti siyo sawa binti kuolewa. Eti mpaka awe 21

Wanaharakati wanailetea bailojia mihemko.

Mwili ukishakuwa tayari kupokea mbegu na kuziprocess kutunga mimba, hiyo maana yake unakupa signal kuwa tunda li tayari kuliwa. Yaliyobaki ni harakati tu za "sociology" zisizo na basis kwenye sayansi halisi ya baiolojia.
Kwa hiyo miaka 9 kwako ni ukubwa...
 
Kwani Iran hio hahaha tunaongea na wajinga hawezi kutofautisha kati ya iran na Iraq. Vipi isiwe US si ndio alio waweka hao viongozi Iraq hio sheria, isije kuwa aliwambia wafate desturi ya kikristo unaposa mtu ana miaka 6, si ndio bibilia zenu zinasema vile. Eti mama yake Yesu alioposwa na Joseph akiwa na miaka 6, afu ndoa ikachekeweshwa bada ya Mariam kubeba mimba ya Yesu ana miaka 6, ukristo huo sijui hilo gazeti la Paulo lilishuhudia vipi hapo, na lile lakuzaliwa mungu wakikristo kwenye zizi la ngo'mbe. Afu mnamcheka baniani kuabudu ngo'mbe 😄 Sijui lini mtafanya tolea jipya mseme alizaliwa chini ya daraja la kigamboni kidogo inaunafuu.

Siyo kweli ulichoandika .
Kwanza hori la ng’ombe maana yake sio Zuzi la ng’ombe.
Muungwana hukubaliana na ukweli na ku-admit Penye udhaifu na sio kubabaisha au kupotosha iko kuzani labda yaliyodhaifu yataonekana kiwa na afadhali.
Owe ni Iran au Iraq zote hizo ni nchi za kiarabu z inafanana tamaduni.
 
Siyo kweli ulichoandika .
Kwanza hori la ng’ombe maana yake sio Zuzi la ng’ombe.
Muungwana hukubaliana na ukweli na ku-admit Penye udhaifu na sio kubabaisha au kupotosha iko kuzani labda yaliyodhaifu yataonekana kiwa na afadhali.
Owe ni Iran au Iraq zote hizo ni nchi za kiarabu z inafanana tamaduni.
Hori au Holi hahaha Boma au zizi ndio hivyo hivyo acheni uongo bibilia zenu zina kiri hivyo. We nani useme mimi ni muongo, Kwani mimi na uadui na Yesu, huyo ni kipenzi wetu kama Mtume Muhammad, nyie ndio.mnamdhalilisha kusema kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe. Afu acha ujinga Iraq ni warabu na Irani ni Persians.
 
Hori au Holi hahaha Boma au zizi ndio hivyo hivyo acheni uongo bibilia zenu zina kiri hivyo. We nani useme mimi ni muongo, Kwani mimi na uadui na Yesu, huyo ni kipenzi wetu kama Mtume Muhammad, nyie ndio.mnamdhalilisha kusema kazaliwa kwenye zizi la ngo'mbe. Afu acha ujinga Iraq ni warabu na Irani ni Persians.

Wanao sema hivyo hawajui.
Tena wapo wakristo pia ambao hawajui ukweli .
Unazani kila Mkristo anasoma na kujifunza Maneno ya Mungu kwa kutosha basi!
Hori la ng’ombe maana yake sio Zizi la ng’ombe.
Tafuta kujua zaidi.
Kwanini nikukatalia from no where.
Sababu Kama ni Zizi la ng’ombe bado tungeamini Pengine ndio ilivyopangwa na Mwenyezi Mungu na ako na maana yake nzuri Pengine ndio mapenzi yake.
Lakini siyo.
 
Wanao sema hivyo hawajui.
Tena wapo wakristo pia ambao hawajui ukweli .
Unazani kila Mkristo anasoma na kujifunza Maneno ya Mungu kwa kutosha basi!
Hori la ng’ombe maana yake sio Zizi la ng’ombe.
Tafuta kujua zaidi.
Kwanini nikukatalia from no where.
Sababu Kama ni Zuzi la ng’ombe bado tungeamini Pengine ndio ilivyopangwa na Mwenyezi Mungu na ako na maana yake nzuri Pengine ndio mapenzi yake.
Lakini siyo.
Kazichane basi bibilia zenu zenye kusema Boma au zizi la ngo'mbe.


Nyie hamjui hata ukweli wa Yesu, jina la kweli la Yesu lilikuwa nani. utapata habari nyingi za uwongo . Matokeo mengi yatasema ni Yeshua. Kwa kuanzia, Yesu hakuzungumza Ki hebrew, alizungumza Aramaic. Watu katika maisha yake ya kila siku hawakuwa wakimwita Yeshua. walikuwa wakimwita Isho katafuteni ukweli kwanza hio ya kumuita B.C Yesu alizaliwa bada ya miaka B.C nyie mnamuabudu sio Yesu pia na wakati hata Yesu hafai kabudiwa pia sababu ni binadamu.
 
Kwani Quran inasemaje?

Kwahiyo hao Wanaharakati wanajikuta wanajua kuliko Quran?

Inamaana Mtume Muhammad (S.A.W) alikosea kuoa binti wa miaka 9?
Hio miaka 9 nyie mmeitoa wapi? Kwenye Quran hamna kitu Kama hicho na kwenye hadithi Kuna mkanganyiko wa Hilo jambo sema watu wangi wamekomaa na miaka 9 ili kuonyesha Kama udhalili TU Kwa mtume, ndoa ya kiislam haipitishwi kwa mwanamke Ambae haja vunja ungo na asiejitambua au kutambua nin maamuzi yake. Mimi napinga bi Aysha r.a hakua na miaka 9 wakati anaolewa let's Challenge
 
Sheria mpya inayopendekezwa nchini Iraq inayolenga kupunguza umri wa ridhaa ya Ndoa kwa Wanawake hadi miaka tisa, jambo linalolenga kuruhusu Wanaume Nchini humo kuoa Wanawake wakiwa na Umri mdogo

imepingwa vikali na Wanaharakati Nchini humo wakidai kuwa ni yenye kuhalalisha udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto ambapo pia inaelezwa kuwa Sheria hii inataka kufuta moja ya sheria bora zaidi za haki za Wanawake katika Mashariki ya Kati, ambayo inawapa Wanawake haki za kudai talaka, malezi ya Watoto, na urithi.

Wanaharakati na baadhi ya Wabunge wa Iraq wanapinga kwa nguvu pendekezo hili, wakisema kuwa litakuwa janga kwa haki za Wanawake na Watoto, Raya Faiq, ambaumye ni Mratibu wa Makundi ya kupinga sheria hii, alisema kuwa pendekezo hili litaruhusu Ndoa za Watoto na kuminya haki za Familia za kukataa Ndoa hizo huku akiweka wazi kwamba sheria hii ingekuwa ni njia ya kisheria ya kuruhusu udhalilishaji wa kijinsia kwa Watoto.

Pia, soma: Bunge la Iraq lajadili mpango wa kuruhusu ndoa za utotoni, kushusha umri wa mabinti kuolewa hadi miaka 9

Aidha Serikali ya Iraq, kwa upande wake, inadai kuwa mabadiliko haya yatasaidia kufuata sheria za Kiislamu, wakisema kwamba yatawalinda Wasichana kutoka kwa mahusiano yasiyofaa lakini hata hivyo, Wanaharakati wanasisitiza kwamba sheria hii itawarudisha nyuma Wanawake na Watoto kwa miaka mingi.

Sheria hii ilipitishwa kwa mara ya pili Bungeni mnamo Septemba 16, 2024, na inatarajiwa kupitishwa tena kutokana na msaada kutoka Vyama vya Shia Nchini humo lakini hata hivyo inaelezwa si Vyama vyote vya Shia vinaunga mkono sheria hii, na bado kuna juhudi kubwa za kupinga.

Mapambano haya ni muhimu kwa Wanawake wa Iraq, ambao wanapinga vikali hatua hii, wakiitaka Serikali kuepuka kurejesha nyuma haki za msingi za Wanawake na Watoto.
Wanataka kusema mudi alikosea?

Hao wanaharakati vipi tena
 
Kazichane basi bibilia zenu zenye kusema Boma au zizi la ngo'mbe.


Nyie hamjui hata ukweli wa Yesu, jina la kweli la Yesu lilikuwa nani. utapata habari nyingi za uwongo . Matokeo mengi yatasema ni Yeshua. Kwa kuanzia, Yesu hakuzungumza Ki hebrew, alizungumza Aramaic. Watu katika maisha yake ya kila siku hawakuwa wakimwita Yeshua. walikuwa wakimwita Isho katafuteni ukweli kwanza hio ya kumuita B.C Yesu alizaliwa bada ya miaka B.C nyie mnamuabudu sio Yesu pia na wakati hata Yesu hafai kabudiwa pia sababu ni binadamu.


Aisha رضي الله عنها was 6-7 at the time of the contract and 9 at the time of consummation. This is the correct view, established by the authentic narrations and supported by the learned Ulema.

They lie, saying she was 17 or 18 to please the kuffar, and if they choose the "moral" age was 25, then they make up some excuse to make it seem like she was 24 or 25. How shameful is it tell baseless lies and be ashamed about your religion, kneeling and licking their heel!
 
Aisha رضي الله عنها was 6-7 at the time of the contract and 9 at the time of consummation. This is the correct view, established by the authentic narrations and supported by the learned Ulema.

They lie, saying she was 17 or 18 to please the kuffar, and if they choose the "moral" age was 25, then they make up some excuse to make it seem like she was 24 or 25. How shameful is it tell baseless lies and be ashamed about your religion, kneeling and licking their heel!
Crazy, where did you get this from? The age of 9 from a Hadith and 19 from this argument: This hadith cannot be true for several reasons. 1st, the Prophet could not have gone against the Qur'an to marry a physically and intellectually immature child.

Secondly, the age of Aisha can be easily calculated from the age of her elder sister Asma who was 10 years older than Aisha. Asma died in the year 73 Hijri at the age of 100, ten or twelve days after the martyrdom of her son Abdullah Ibn Zubair. It is common knowledge that the Islamic calendar starts from the year of the Hijrah or the Prophet’s migration from Makkah to Medina. Therefore, by deducting 73, the year of Asma’s death, from 100, her age at that time, we can easily conclude that she was 27 years old during Hijra.This puts the age of Aisha at 17 during the same period. As all biographers of the Prophet agree that he consummated his marriage with Aisha in the year 2 Hijri it can be conclusively said that she was 19 at that time and not nine as alleged in the aforementioned hadiths.
 
Back
Top Bottom