Iraq: Wanaharakati wapinga Sheria ya umri wa ndoa kuanzia miaka 9

Miaka 9 hata ungo anakuwa hajavunja.
Kwa hiyo anaenda kuvunjia kwa Mwanaume ?
Je atakae muelekeza jinsi ya kuvaa sodo ni nani ?
Ni huyo Mwanaume ??
Anajua mambo ya wanawake ya sirini ??

Ila nyie wenzetu sometimes aisee !
 
Sasa mbona umeandika kavu kavu bila kibebeo? She was 6 according to who? There is no excuse to anyone when the matter of Islam is addressed.
 
Miaka 9 hata ungo anakuwa hajavunja.
Kwa hiyo anaenda kuvunjia kwa Mwanaume ?
Je atakae muelekeza jinsi ya kuvaa sodo ni nani ?
Ni huyo Mwanaume ??
Anajua mambo ya wanawake ya sirini ??

Ila nyie wenzetu sometimes aisee !
Tupe evidence mzee sio unajimaliza kabisa hili suala hapa jukwaani limekua kawaida ukweli uongo ukisemwa sana inageuka kweli hata mkiambiwa nyie ni kuunga tu mazayuni yamewaharibia sana vitabu kwa uongo ndio maaminj naona watu washakua wajinga kuzusha upuuzi tu usio na maana
 
Hapa wairaq wamezingua wako against Quran, waliangalie sana
 
Naona Waarabu wa Buza wanabishana hata na Aisha mwenyewe.

Sahih Muslim 1422 b
'A'isha (Allah be pleased with her) reported:
Allah's Apostle (ﷺ) married me when I was six years old, and I was admitted to his house when I was nine years old.

Nchi za Kiislamu zinashinikiza kuishi kwa kufuata matendo ya mtume wao.
Na ni ndoto ya kila Mwislamu kuishi hivyo.
Kama Wakristo wa kweli wanavyo penda kuishi kwa kufuata matendo ya Kiongozi wao Yesu Kristo.
Uzuri tu kuwa Wakristo hata wawe wengi kiasi gani hawatangazi nchi yao kuwa ya Kikristo kwa kuwathamini watu wa Imani nyinginezo.
 
Hapo bibilia ili jaribu kumhalalisha Paulo kumbe inamtukanisha kabisa. Alitaka asema yeye ni Mtume wakati hakuna aliye mpa utume sio Mungu wala sio Malaika wa Mungu kamfikishia ujumbe. Sa huo utume fake ni wake 😆
Kwani Mtume alipewa huo utume na nani ?
Kule pangoni ?
مَّا أَصَابَكَ مِنْ حَسَنَةٍ فَمِنَ اللَّهِ ۖ وَمَا أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٍ فَمِن نَّفْسِكَ ۚ وَأَرْسَلْنَاكَ لِلنَّاسِ رَسُولًا ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا

[ AN-NISAAI - 79 ]
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.
(Ushawajua waliomtuma mwamedi?) (ni majini)
 

Sasa we ungeweka darasa hapa la kuweza kusahihisha hilo jambo. Mfano ungeweka hapa masahihisho ya umri wa Bi Aysha ukasema kwa mujibu wa hiki na hiki au aya hii na hii inaonyesha kuwa bi Aysha aliolewa akiwa na umri huu

Ukiwa unabishana hiv hivi basi huna tofauti na yeye itakuwa ni maneno yake dhidi yako maneno yako
 
Anzisha uzi mimi ntadebate mimi sianzishagi uzi sipendelei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…