Thefreedom
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 319
- 314
Kaanzisha kitu kizuri ila naaamini kuna hackers humo ambao hawajui tumia hixo mambo ya hii server.... Nimeingia nimeona tuliiii....Je hapo kuna channel yoyote kati ya hizo umejarbu? Luna iliyokuwa active mpaka sasa..
Je unaweza kushare channellz unazozifaham ambazo zipo active zinazohusu hizi mambo (hacking)?
Then haitakufaa! Unaweza kuwafikishia rafiki na jamaa ambao ni developers. Itawafaa!Nzuri ila mm sio devoloper
Kwa wale wasiojua unaweza tumia linux terminal kufanya config ni easyMaendeleo mazuri, wachache sana wapo, wengi wanashindwa kujiunga. Mi naona ni uvivu wa kufuatilia namna ya kufanya configurations hizo mpaka kuingia kule. Ni mambo madogo madogo tu.
Heheheh @xOrz naingiaga sana kuchek upepo.... User ni hio hio same na JfAise safi sana mkuu... kumbe mnaweza kabisa.. sasa mbona ata ww sikuoni kule? #hhub_*
baS itakuwa tunapishanaa asee