Thefreedom
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 319
- 314
Kaanzisha kitu kizuri ila naaamini kuna hackers humo ambao hawajui tumia hixo mambo ya hii server.... Nimeingia nimeona tuliiii....Je hapo kuna channel yoyote kati ya hizo umejarbu? Luna iliyokuwa active mpaka sasa..
Je unaweza kushare channellz unazozifaham ambazo zipo active zinazohusu hizi mambo (hacking)?
Binafs sina channel ila ni vzr kuwa na channel ambayo ni special kwa hiii mambo