Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Hata kina j.lo wana miaka mingu na hawapunguzi miaka lakini wapo super
hapa kwet jitu linapunguza umri na bado zee
hivi hayaoni aibu?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kina j.lo wana miaka mingu na hawapunguzi miaka lakini wapo super
hapa kwet jitu linapunguza umri na bado zee
hivi hayaoni aibu?!!
Wakishapaka make up wakijitazama na kwenye kioo basiiu wanajiona watotoii
mipombe ya ofa na minyama choma ndo vinazeesha
Na kujichubua kunaua seli za ngoz,kuchoropoa na mipombe isio na mpangilio...vyakula pia afu mazoez kwa kiba wema ni kama adhabu.
Na kujichubua kunaua seli za ngoz,kuchoropoa na mipombe isio na mpangilio...vyakula pia afu mazoez kwa kiba wema ni kama adhabu.
yani nampenda sana huyu dada toka enzi miss tmk
na sijui urafiki na nancy umeishia wapi maana mwanzo walikua karibu sana
ila sasa hivi siwaoni wote
Msagaji, group sex walikua wanafanya na Nancy sumari
»Lucas wa bongo5 ndio alikuwa anawapiga 3some kweli ni shigda,mara ya kwanza kumuona ilikuwa 2004 na pia alikuwa amepangishiwa house na mtoto wa waziri maeneo ya Samaki samaki nyumba ya pili kutoka barabarani
»Ila namkubali yupo safi hazeeki kabisa forever young.
Hongera kwa Irene Kiwia...yeye na Hoyce Temu ni warembo wa kuigwa mfano hasa kwenye kazi za jamii, sio hawa kina 'mama ubaya' pasua kichwa!
Watanzania mna phd ya umbeya! Kudos kwenu!
Wabongo tuna migodi ya umbea.
Usisahau kuwa na plastic surgery zinahusika. Hawa warembo matajiri wa kimataifa ni mabingwa wa kuchonga nyuso zao pia.Mazoezi,diet ya msosii,wana pesa piaa,hawaugui hovyoo,hawana mawazo sanaa,
Lakini sitt kwao wana uwezo lakini sura ngumu kama mtoto wa Maskinii
Nampenda priyanka chopra ule wimbo wake excotic hua najaribishia kuucheza tule tumikono wanavyotuchezesha
hhhhaaaa
Usisahau kuwa na plastic surgery zinahusika. Hawa warembo matajiri wa kimataifa ni mabingwa wa kuchonga nyuso zao pia.
Lakini bado wazuriii,,wema hata mtoto hana lakini utafikiri ni miss wa 1998
Sasa Sitti kazaliwa 1981 kwenye cheti ikakosewa ikaonekana 1991 wee unategemea usoft autoe wapi?Bongo jua siku 365.hebu waangalie wale wadada waliokuwaga mamiss worl na universe
aishwarya rai miss world94 kazaliwa 73
priyanka miss world 2000 kazaliwa82
lara duta miss universe2000
dia mirza miss asian pacific km sikosei2000
ukiwaona bado vimwari yaani sijui wanakula nini wenzetu
utafkri wa90 muangalie sitti mtemvu linganisha na hao