Irene Mbowe a.k.a kungwi lao

Irene Mbowe a.k.a kungwi lao

Makungwi wa JF, Evelyn Salt, Sky Eclat, Mama Terry, Miss Natafuta, FaizaFoxy, Paloma, Demiss, miss chagga na wengine wengi, sioni mkiandika mada zenye kuokoa ndoa, na za kumfanya mwanamke akae kwenye position yake kama anavyofanya Irene Mbowe?
Wanaume wengi tunasoma mabandiko yake, tunayafurahia, tunatamani na wenzi wetu wawe wenzi bora kama afundishavyo Irene Mbowe.
Mshikaji wangu Arushaone, General Galadudu, ndyoko, Kiranja Mkuu na wengine wengi tunagongana sana kwenye machapisho ya Irene.
Hebu Makungwi wa JF kazeni msuli mfikie standards ambazo tayari Irene Mbowe kisha zi set
 
Siri moja kubwa ya ndoa yenye amani ni kuolewa na mtu aliyekupenda. Mwanaume anaeheshimu mchanga unaosimamia.

Hata aletewe maneno na ndugu atayadharau, hata ufanye kosa atakusamehe.

Lakini uolewe na mwanaume kisa ana mali, sura ya kuvutia lakini hajakupenda kivile cha moto utakiona.
 
Siri moja kubwa ya ndoa yenye amani ni kuolewa na mtu aliyekupenda. Mwanaume anaeheshimu mchanga unaosimamia.

Hata aletewe maneno na ndugu atayadharau, hata ufanye kosa atakusamehe.

Lakini uolewe na mwanaume kisa ana mali, sura ya kuvutia lakini hajakupenda kivile cha moto utakiona.
Na wanaume wanasubiri wapendwe na wanawake ndipo wawaoe
 
Ndoa za siku hizi nnje watajifanya wamekuelewaaa

ila mkirudi nyumbani MAMA atampgisha deki baba

baba atamzibua makofi mama

yani ni ndoa za Show off,balaaa lipo ndani hukooooo

Mgeni ukija nyumbani unaweza ukasema bwana Controla anaishi na mke wake hadi raha

Ila maliza kula mgeni ondoka,yatayoendelea hapo hayasimuliki.

Ndoa zisha GOMA ni maombi tu ila hivi hivi kidudu kupe kimegandiamo
 
Na wanaume wanasubiri wapendwe na wanawake ndipo wawaoe
Hapo ndipo wanapokosea,.jukumu la kupenda ni la mwanaume kwanza na sisi wake tunarudisha kwao upendo kwa UTII sasa wao kama wanasubiri wawapate wanawake wa kuwapenda wao kwanza halafu ndio wao wawapende aisee ndoa zitafukuta kila siku,.na hazitapoa kwasababu tutakuwa tumebadilishana majukumu wakitaka wao wapendwe basi wakubali kututii kitu ambacho hakipo kiuhalisia..
 
Bujibuji JF ni kijiwe nongwa bila shaka ipo siku watakuja tokea hao waelimisha ndoa

Hata hivyo hao kina Irene Mbowe na motivational speakers wengine hiyo kazi wanaifanya kama sehemu ya kuingiza kipato, ni ajira binafsi sio wito...
 
Makungwi wa JF, Evelyn Salt, Sky Eclat, Mama Terry, Miss Natafuta, FaizaFoxy, Paloma, @damiss, miss chagga na wengine wengi, sioni mkiandika mada zenye kuokoa ndoa, na za kumfanya mwanamke akae kwenye position yake kama anavyofanya Irene Mbowe?
Wanaume wengi tunasoma mabandiko yake, tunayafurahia, tunatamani na wenzi wetu wawe wenzi bora kama afundishavyo Irene Mbowe.
Mshikaji wangu Arushaone, General Galadudu, ndyoko, Kiranja Mkuu na wengine wengi tunagongana sana kwenye machapisho ya Irene.
Hebu Makungwi wa JF kazeni msuli mfikie standards ambazo tayari Irene Mbowe kisha zi set
Ndoa Ni pande mbili bwana, we mheshimu na yeye
Makungwi wa JF, Evelyn Salt, Sky Eclat, Mama Terry, Miss Natafuta, FaizaFoxy, Paloma, @damiss, miss chagga na wengine wengi, sioni mkiandika mada zenye kuokoa ndoa, na za kumfanya mwanamke akae kwenye position yake kama anavyofanya Irene Mbowe?
Wanaume wengi tunasoma mabandiko yake, tunayafurahia, tunatamani na wenzi wetu wawe wenzi bora kama afundishavyo Irene Mbowe.
Mshikaji wangu Arushaone, General Galadudu, ndyoko, Kiranja Mkuu na wengine wengi tunagongana sana kwenye machapisho ya Irene.
Hebu Makungwi wa JF kazeni msuli mfikie standards ambazo tayari Irene Mbowe kisha zi set
Hahaaa ndoa haina formula bwana, na ukipatwa na tatizo ndo utajua haswa hisia zako zipoje sio kusikiliza theory.
We mwanamke mpende tu vizuri mheshimu ndoa itakua tamu mnooo
 
Hapo ndipo wanapokosea,.jukumu la kupenda ni la mwanaume kwanza na sisi wake tunarudisha kwao upendo kwa UTII sasa wao kama wanasubiri wawapate wanawake wa kuwapenda wao kwanza halafu ndio wao wawapende aisee ndoa zitafukuta kila siku,.na hazitapoa kwasababu tutakuwa tumebadilishana majukumu wakitaka wao wapendwe basi wakubali kututii kitu ambacho hakipo kiuhalisia..
Unaanza upendo kwanza ndio utii unafuata, hauwezi kumtii MTU usiyempenda
 
JF kuna wadangaji tu, Makungwi hawapo hapa, labda makuwadi ndio utawapata
 
Nilitaka niwatajie ID ya Irene Mbowe JF ila sheria inakataza "name mentioning" ngoja nione anavyowachora
 
Siri moja kubwa ya ndoa yenye amani ni kuolewa na mtu aliyekupenda. Mwanaume anaeheshimu mchanga unaosimamia.

Hata aletewe maneno na ndugu atayadharau, hata ufanye kosa atakusamehe.

Lakini uolewe na mwanaume kisa ana mali, sura ya kuvutia lakini hajakupenda kivile cha moto utakiona.

Ahsante kumbe unavipawa vingi...


Cc: mahondaw
 
Kuna mmoja hapo namwona nae ana majanga yake
Makungwi wa JF, Evelyn Salt, Sky Eclat, Mama Terry, Miss Natafuta, FaizaFoxy, Paloma, Demiss, miss chagga na wengine wengi, sioni mkiandika mada zenye kuokoa ndoa, na za kumfanya mwanamke akae kwenye position yake kama anavyofanya Irene Mbowe?
Wanaume wengi tunasoma mabandiko yake, tunayafurahia, tunatamani na wenzi wetu wawe wenzi bora kama afundishavyo Irene Mbowe.
Mshikaji wangu Arushaone, General Galadudu, ndyoko, Kiranja Mkuu na wengine wengi tunagongana sana kwenye machapisho ya Irene.
Hebu Makungwi wa JF kazeni msuli mfikie standards ambazo tayari Irene Mbowe kisha zi set

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom