Irene na ndikumana warudiana.

Irene na ndikumana warudiana.

wizi mtupu...kujitafutia umaarufu kwa namna yeyote huku.
 
I knew wa a lie. Si rahisi mtu kusema eti kwa miaka yote sikuwahi kuwa na furaha wala kumpenda.
 
huyu binti tangu alipoOlewa haya magazeti ya marangi marangi hasa ya Shigongo yalianza kuandika habari zake tena mbaya tuu. yaani si rahisi ipite wiki hawana habari zake. Biblia inakataza na inasema NDOA iheshimiwe na watu wote. kama hamkuwa na la kusema kabla ya ndoa yake, baada ya ndoa fyata mkia.huwa naudhika sana kusoma habari mbaya za huyu binti kila Gobal publishers inavyotoa gazeti.
 
Hivi sasa ile taarifa ilimwongezea nini ama kumpunguzia nini !!!! Kama ni ujiko basi ni poor analyst.

Sifuri= zero=nill
 
wameachana siku mbili tu.. chini kukaanza kudai... mapenzi matamu banduguu...
 
Back
Top Bottom