Hamtaki
pesa siyo tatizo...vipi ana skendo za ajabu?
Angekuwa na scandal kil siku ungekuwa unamsikia humu, hana mambo ya ajabu sema tu hapend kuyumbishwa kama akina mama ubaya, na kama unajiona sharobaro bas kaa nae mbali, uwa she does nt entertain ujinga kabisa
Warumi nahisi wewe utakua msaada wangu kufanikisha ndoto zng aisee....na nikafanikisha utafurahi mwenyewe
Mtafute steve nyerere, kuwadi aliyekubuhu kwenye ukanda huu wa Afrika mashariki na kati.
Mimi ukiniunganisha na Dinazarde nakununulia Private Jet.....
Au amtafute aunty bilali, maana yule jamaa ni shidaaa anawatafutiaga mastaa wa bongo wanaume wa maana sio wanawake wala wanaume, yani ujanja wa mastaa sijui akina wema,lulu,kajal na wengine upo kwa huyu bilali, yani anawauza hadi china
Mi nimecheka balaaa huyu TNAmo ana mambo