Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,912
Hawa wadada wetu hawajifunzi kwa Wolper alivyopigwa min Kabang na kupigwa three someNavosikia ni bamutu kutoka Congo
na yule Mkongo aliyemuoa huko South Africa ndipo aliporudi akaangukia kwa Mumakonde... Wadada zetu hawajifunzi kabisa...😱😱😳 enhee na Nani
Mbone umejaa nyembe hivi...utafikiri mtetea mwenye kideri..Imeolewa ulitaka akuoe wewe
hapo tumeelewanaWapenzi, inatokea mwanaume akabadilisha yeye.
HahaaaaWanaume na sisi bana!!!
Sasa hiyo skrepa imapeleka wapi..??
Kama ni bamutu kutoka kongo huyo dada kafaata hela hapo wala si upendoNavosikia ni bamutu kutoka Congo
Wala sijawa povu...Mwenzio Ndio kaoa endelea kupovuka