Bado anatafuta mtaji muumini, kausha.Aaafu huyu si alitakaga kufungua kanisa wakati fulani
mkuuu umeongea ukweli huyo demu anatafuta pesa za kanisa coz namjua anamsimamo sana wa din ya kikristo hapo jamaa anapambwa tuBado anatafuta mtaji muumini, kausha.
huyu atakuwa anampamba mjomba huyo demu anamsimamo sana wa kidin ukristo nampata vizuriii sana tena na kuokoka alikuwanako kuna kitu anamtega huyo mjomba chunguzaAaafu huyu si alitakaga kufungua kanisa wakati fulani
huyo kwenye kipengele cha kuama din ni muongo anamzuga huyo mjomba coz aliokoka na hata fb kurasa zake ni maneno ya din tu so huyo lazima kuna kitu anakinyemelea utaskia tu wameachana baada yada fulan na demu karudi kwenye din yakeMambo yote ijumaa
Mmh! Kwani kabla ya usawa huo watu walikuwa hawafungi ndoa?Usawa huu ndoa lazima ziwe mtaji
[emoji347]Mmh! Kwani kabla ya usawa huo watu walikuwa hawafungi ndoa?
Unafahamu maana yake halisi.Mmh! Kwani kabla ya usawa huo watu walikuwa hawafungi ndoa?
Bora Lulu atutikwe mvua za kutosha! Maana hasara ya kumuua kanumba ni kubwa sana kwa jamiiHakuna ndoa hapo dada jonah huyo sheila huwa anapenda sana makiki na mapicha picha
Mara anapenda wanaume wenye sur mbaya
Mara hapend mwanaume mwenye pesa
Mara anagombea ubunge
Kaona hasikik kaona aje na kiki ya kama ile ya JOSE KAMILION ya kunadilisha din ijumaa then jumapili anaibuka tena kanisan na kudai alikosea njia
Kaona hiyo kiki haitosh kaongeza na ya kufunga ndoa
Hawa bongo move toka baba yao STEVE KANUMBA atutoke wamekuwa vichekesho kweli kweli
Maana ya nini?Unafahamu maana yake halisi.
Tuanzie hapo.
Au unadhani ni kitega uchumiii
[emoji2] [emoji2] aisee!Bora Lulu atutikwe mvua za kutosha! Maana hasara ya kumuua kanumba ni kubwa sana kwa jamii
Maana halisi ya ndoaMaana ya nini?
Yousof Enow Pierre.... RAIA WA WAPI HUYU??