Irene Uwoya Abadili Dini Sasa kuitwa Sheila.

Aaafu huyu si alitakaga kufungua kanisa wakati fulani
huyu atakuwa anampamba mjomba huyo demu anamsimamo sana wa kidin ukristo nampata vizuriii sana tena na kuokoka alikuwanako kuna kitu anamtega huyo mjomba chunguza
 
Mambo yote ijumaa
huyo kwenye kipengele cha kuama din ni muongo anamzuga huyo mjomba coz aliokoka na hata fb kurasa zake ni maneno ya din tu so huyo lazima kuna kitu anakinyemelea utaskia tu wameachana baada yada fulan na demu karudi kwenye din yake
 
Bora Lulu atutikwe mvua za kutosha! Maana hasara ya kumuua kanumba ni kubwa sana kwa jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…