Irene Uwoya afunguka kutoka na Diamond, Harmo Rapa na Dogo janja

Irene Uwoya afunguka kutoka na Diamond, Harmo Rapa na Dogo janja

Hajui kujieleza Mara nipo single Mara nipo na mume wangu ndio nini sasa
 
Uwoya amedai hajawahikuachana na mumewe Ndikumana ila hawapo pamoja kwa sababu ya mwanaume huyo yupo busy na kazi
Pia amesema hamjui Harmo rapa zaidi ya kumsikia mitandaoni na watu wamekuwa wakimuuhusisha nae baada ya kusema anapenda wanaume wenye sura mbaya
Amesema pia hatoki na dogo janja kama anavyodaiwa na anamuona kama mwanae wa kumzaa sababu ni mdogo sana
Hajawahi kutoka kabisa na Diamond

Dongo janja
 
Back
Top Bottom