[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] msg delivered mana sio kwa kuja na spidi hizoBinamu tuwache wanyaki tafwadhali. Utasikia tu "ejoooooooooooooooooo"
Au siyo....!!!Wakuu salaam.
Nimeona video you tube ikionesha jinsi iren alivyoguswa na kifo cha Mzazi mwenzie.
Hata kama ni kwa unafiki(kama watu wanavyosema) ila kaonesha nini maana ya Mme.MTU ukishazaa nae ni zawadi tosha.
Kamlilia mmewe hadi kuzimia, sio Yale ya Zari mmewe kalala kwenye jeneza yeye yupo busy na kupost insta, kajiremba utadhani anatoka out, nyoooo!
Staki kuongelea mambo ya Iren na kale katoto kanakomfika kwapani, maana yanaboa hata kama ni movie , ila kwa msiba huu wa Mzazi mwenzie kaguswa kihisia inshort hajatutia aibu wanawake. Kwakweli mungu ampe wepesi, kazi ya mungu.haina makosa.
Ustaa usitufanye kuwa watumwa MTU umefiwa unapaka wanja mpaka sikion, midomo umeipodoa kama nn, saloon nywele za kichina yaan inaboa sana kugeuza misiba kama sherehe.
Iren kuanzia mavazi muonekano kweli ukimtizama ni mfiwa. Pole Iren
RIP Ndikumana.
Note: Hiyo video mm sijui kuiweka hapa ila IPO YouTube ,ambae anaweza kuiweka hapa naomba anisaidie.na mwenye picha naomba aziweke hapa.
Video imeandikwa kama nilivyoandika title ya Uzi.
Teh umenigusa kwa kweli[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] msg delivered mana sio kwa kuja na spidi hizo
Mkuu hakuna kitu ambacho adui yako anakifurahia kama KIFO.,UPATE MATATIZO,, nk....kinachofanyika ni matokeo ya KAULI NA KUMMALIZIA MANENO NDIKUMANAH....sasa INERE akili zimemrudia,,,anakumbuka huyo aliyemtolea maneno ya kashfa ni mzazi mwenzie,,na ndy baba wa mtoto wake,,,sasa ATAINGIAJE MSIBANI?ATAWATAWATAZAMAJE NDUGU WA NDIKUMANAH?.,,akaamua kuja na style ya KUZIMIA...mkuu si kila anayezimia msibani kaguswa na msiba ,,,,, UWOYA anapataje uchungu hadi kupoteza fahamu kwa mfano..... KILIO CHA ADUI YAKO KWENYE MSIBA WAKO NI SHEREHE.....utanichukiaje nikiwa hai uje unipende nikiwa mfu?tukiachana na yoooote jamani...kifo ni kifo tu..yaani hata ukisikia adui yako amefariki lazima roho ubinadamu wa kawaida itakujia,huzuni,simanzi na huruma vitakujia.
Irene kuachana au kutompenda Ndiku haimaanishi kuwa na Maisha ya Ndiku hakuyapenda pia au uhai wake ulikuwa tatizo kwake...pia tukumbuke vyovyote iwavyo hawa watu walishawahi kushare breath na pia walishawahi kuwa na happy n memorable moments sometimes somewhere....so, kama binadamu wa kawaida hakuna la kushangaza na wala sio unafiki kwa Irene kuguswa na kifo cha mzazi mwenzake.
RIP Ndiku Hamad!
hahahaHAHAHAMwl umenikumbusha hii clip nilicheka sana tena aiseeeee daaaHa ha ha gelofriend, kuna clip moja ya wakuvwanga (mama imma) na masanja, yani mama kumpokea tu mwanae from safari kafurahi hadi kalala chini ha ha ha wanyaki bana
Ile clip huwa nacheka sana, yani huwa narudia rudia kuichekihahahaHAHAHAMwl umenikumbusha hii clip nilicheka sana tena aiseeeee daaa
Kuna watu kulia na kuzimia ni sifa kwao hili waache historia....... watu wana sahau kulia na kuzimia hakupangwi unaweza usilie lakini ukabaki na kidonda kikubwa kuzidi walio lia hadi kuingia kaburini hili na wao wazikwe.........
JF bhana kila jibu utalikuta humuMmmh haya, labda analia kwa niaba ya mtoto wake.
Sana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa kelele
Wao mwenye uchungu ni yule anayelia kwa vurugu na manenoo mfano"Munguuu nichukue na Mimi,jamaniiii"
huyu irene inaonekana atakuja kufunga harusi nyingine ya kikristo coz mjomba alikuwa kama anamziba vilee coz aling'ang'ania sana talaka ambapo kikristo ni kutengana tu hamuachani nyie mtasikia tu ila hako katoto kanaona kama kamependwa kumbe???Hajawah kumpenda kabla na baada ya ndoa sasa kinachomliza nini??au ndio machoz ya furaha hayo??anafurahia talaka ya milele mxiuuuuuu
Mkuu hakuna kitu ambacho adui yako anakifurahia kama KIFO.,UPATE MATATIZO,, nk....kinachofanyika ni matokeo ya KAULI NA KUMMALIZIA MANENO NDIKUMANAH....sasa INERE akili zimemrudia,,,anakumbuka huyo aliyemtolea maneno ya kashfa ni mzazi mwenzie,,na ndy baba wa mtoto wake,,,sasa ATAINGIAJE MSIBANI?ATAWATAWATAZAMAJE NDUGU WA NDIKUMANAH?.,,akaamua kuja na style ya KUZIMIA...mkuu si kila anayezimia msibani kaguswa na msiba ,,,,, UWOYA anapataje uchungu hadi kupoteza fahamu kwa mfano..... KILIO CHA ADUI YAKO KWENYE MSIBA WAKO NI SHEREHE.....utanichukiaje nikiwa hai uje unipende nikiwa mfu?
Watanzania unafki Ndio Jadi YETU. Sion alichokililia mpaka kuzimia Ni unafiki Angekuwa anaujua Uchungu wa mume Angekuwa naye wakati wa Sakaratul Umauti. Ndio yaleyale ya mke wa mzee Yusuph kumlilia mke mwenzake mpaka kuzimia wakati alivyokuwa Hai kutwa kurushiana vijembe Kwenye mitandao.
Bora ya Zari kuliko Huu unafiki Wa Kitanzania tulioojaaliwa watanzania wengi Tukiwa Hai hatupendani Subiri mtu afee Sasa chaaaa. Hiki alichofanya Irene ni muendelezo tu wa ile roho ya Kinafiki iliyowatawala WA Tanzania wengi.
Yo right Heaven Sent mishyuSiyajui ya moyoni mwake. Ila hakuna kitu kinachoumiza kama kuwa na ugomvi na mtu afu akafariki kabla hamjapatana, unabaki na "ninge"..... inaumiza sanaaaaaa, unatamani mtu anyanyuke hata mara moja umuombe mpatane ila ndo haiwezekani kabisa. Tujifunze kusameheana na kuishi kwa amani