Irene uwoya akimbizwa hospital baada ya kupoteza fahamu.

Irene uwoya akimbizwa hospital baada ya kupoteza fahamu.

Thamani ya mtu uliyemtesa na kumnyanyasa kwa namna yoyote ile huonekana pale mtu huyo anapokufa.

Sitaki kumuhukumu Irene lakini vitendo alivyokuwa anavifanya vinaweza kuwa kichocheo cha kifo cha huyu bwana.

Sikutarajia kumuona akilia kwa uchungu hivi. Alitakuwa kufahamu mapema kuwa anamsababishia maumivu makubwa mwenzie.

Tukumbuke kuwajali wale waliopo kwenye maisha yetu.
Kuna watu hata hujui uwaiteje, ruthless? disrespectful? ignorant? immature? kuachilia mbali klichotokea baina yao kama wanandoa, Mungu aliwapa mtoto, a bond non of them could break. Kweli mnashindwa kuheshimiana kwa ajili ya mwanenu? Yaani hii mitandao mbona imetufanya malimbukeni hivi jamani! Binafsi ni karibuni tu ndo nilipata kusoma mabandiko ya Katauti mitandaoni baada ya ile 'ndoa' ya bidada na janjaro! Yaani jamaa aliukuwa anajikaza kiume, one could sense that he wasnt ok! Anyways yeye kafunga ukurasa wake kazi kwa tuliobaki. Alafu juzi watu wanamlaumu Hamisa kwa kumwombea kheri Lulu! Ndo kama hivi...majuto ni mjukuu!
 
Back
Top Bottom