Irene Uwoya anafanya kazi gani?

Kijana kwani we unafanya kz gani kafanye kz mapori yanawasubiri huko we kaa nyuma ya keyboard fuatilia wanawake wana maduka yao hawalioi kodi wateja kibao
 
Muacheni atumie,kwani mmesikia,kaiba,katapeli au biashara haramu.na wewe kamuombe walau mtaji
 
hii tabia ya kutaka kujua watu wanafanya nini maishani naona kama inatukwamisha sana,sasa ukiishajua then itakusaidia nini katika maisha yako ya kila siku mkuu?kama unakwama hivi,daah!
Sasa kama mtoa post ni askari kapewa jukumu la kumchunguza Uwoya kwa nyendo zake kutokana na tuhuma za kuuza nganda, hapa ndio kaona pa kuanzia uchunguzi wake.
 
Ni aibu mwanaume kumchunguza mwanamke kazi au shughuli inayomuingizia kipato mpaka unamfungulia uzi.

Tulizoea wanawake ndo wanaouliza haya maswali
 
kwa kukusaidia tu...... kwao wamezaliwa wawili yeye na mdogo ake wa kiume

alafu pia kwao ni wazito/pesa

mzee pancras uwoya kastaafu last yr alikuwa mkuu wa kitengo cha tehama wizara ya sheria na katiba

mama ake ni naibu mkurugenzi wa mipango na bajeti pale wizara ya ardhi (kwa lukuvi)

plus irine ni mtoto wa kike na ni mzuri pia (if u know wat i mean)

but all in all she is just a go getter money talks n daddy pay yeye alitaka kuchange ndinga haendi yard wala showroom anaenda kwao
 
We ngoja hapo apate uvimbe tu wa kufanyiwa upasuaji India....utaona tunavyoanza kuombwa kuchangia.....

Hawanaga maana hawa viumbe, wanajifanya wapo vema kumbe loooooh nyuma ya pazia ukweli anaujua MUNGU...
 
We ngoja hapo apate uvimbe tu wa kufanyiwa upasuaji India....utaona tunavyoanza kuombwa kuchangia.....

Hawanaga maana hawa viumbe, wanajifanya wapo vema kumbe loooooh nyuma ya pazia ukweli anaujua MUNGU...
Ndio zao hawa kufake maisha.
 
Basi anastahili maisha anayoishi aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…