Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua vizur kaz gan wanafanya tueleweemmh...watu wengi huwa wanawapuuza sana bongo movie... hawajui ...tu...kuna vichwa pale vimefanya kichaka tu lakini kila mwezi wana vuta tena fuba la maana! ile mbwembwe tu...
watu kazini..wapo wengi tu mule....
mkuu mbona haitaki tochi... ...Fafanua vizur kaz gan wanafanya tuelewee
Hapo tu ndipo wanaponichosha!We ngoja hapo apate uvimbe tu wa kufanyiwa upasuaji India....utaona tunavyoanza kuombwa kuchangia.....
Hawanaga maana hawa viumbe, wanajifanya wapo vema kumbe loooooh nyuma ya pazia ukweli anaujua MUNGU...
mtoto wa kishua yule....alafu siunajua wazee na watoto wa kike...mzee wake humwambii kitu kwa irineBasi anastahili maisha anayoishi aisee
Baba yake alikuwa rubani unabisha nini wewe kijana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa head of ICT wizara ta katiba na sheria bwana pia aliwahi kuwa wizara ya fedha... ila kustaaf amestaafia wizara ya katiba na sheria
owky... sikujua maana mimi nilimfahamu akiwa wizara ya katiba na sheria na ndipo alipostaafia
Sasa si aliajiriwa hapo kama rubani wao, huelewi nini kijana?owky... sikujua maana mimi nilimfahamu akiwa wizara ya katiba na sheria na ndipo alipostaafia
rubani alikuwa kipindi yupo wizara ya nishati madini... wizara ya katiba na sheria alikuwa mkuu wa ICTSasa si aliajiriwa hapo kama rubani wao, huelewi nini kijana?
Basi itakua babake ndo anamuwezesha mjini na sponsors wa hapa na pale.mtoto wa kishua yule....alafu siunajua wazee na watoto wa kike...mzee wake humwambii kitu kwa irine
asilimia kubwa ni baba ake then sponsors nao wamo.... alisomaga na sis wangu st lawlance kwa musevenBasi itakua babake ndo anamuwezesha mjini na sponsors wa hapa na pale.
Nakumbuka alisemaga kasoma Uganda ila alikua hapendi shule. Yani yote Tisa kumi ni uzudi wake jamani. Huyu Dada sijawahi kuchoshwa na uzuri wake. Ngoja nimuombe arafiki kwanza.asilimia kubwa ni baba ake then sponsors nao wamo.... alisomaga na sis wangu st lawlance kwa museven
ndiyo huko walimtunga jina la go getter money talks n daddy pay
maana ilikuwa shida kidogo tu akipiga simu kwa mshua mkwanja huu hapa na hapo shule inaprovide kila kitu maana st lawlance ni campus ya shule za london colledge kule uganda kwa huku ndio kama feza vile
Anavitega uchumi viwili vinavyo muingizia pesa nyingi sana.Nina wasiwasi mkubwa sana kuhusu huyu binti.
😂😂😂😂 muombe aseeNakumbuka alisemaga kasoma Uganda ila alikua hapendi shule. Yani yote Tisa kumi ni uzudi wake jamani. Huyu Dada sijawahi kuchoshwa na uzuri wake. Ngoja nimuombe arafiki kwanza.
Kama ni ke je?Acha umbeya dogo.Fanya mambo ya msingi ,achana na tabia za kike (kama wewe ni me)