Irene Uwoya anafanya kazi gani?

Irene Uwoya anafanya kazi gani?

mmh...watu wengi huwa wanawapuuza sana bongo movie... hawajui ...tu...kuna vichwa pale vimefanya kichaka tu lakini kila mwezi wana vuta tena fuba la maana! ile mbwembwe tu...
watu kazini..wapo wengi tu mule....
 
mmh...watu wengi huwa wanawapuuza sana bongo movie... hawajui ...tu...kuna vichwa pale vimefanya kichaka tu lakini kila mwezi wana vuta tena fuba la maana! ile mbwembwe tu...
watu kazini..wapo wengi tu mule....
Fafanua vizur kaz gan wanafanya tuelewee
 
We ngoja hapo apate uvimbe tu wa kufanyiwa upasuaji India....utaona tunavyoanza kuombwa kuchangia.....

Hawanaga maana hawa viumbe, wanajifanya wapo vema kumbe loooooh nyuma ya pazia ukweli anaujua MUNGU...
Hapo tu ndipo wanaponichosha!
 
mwanaume mzima kutaka kujua danga anagongwa na nani, anaongwa sh ngapi utakuwa na tatizo kichwani sio bure! acha kufuatilia ya watu pambana na yako. mfyuuuuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa head of ICT wizara ta katiba na sheria bwana pia aliwahi kuwa wizara ya fedha... ila kustaaf amestaafia wizara ya katiba na sheria

Baba yake alikuwa rubani unabisha nini wewe kijana?

ireneuwoya8-20180913-0001.jpg
 
Basi itakua babake ndo anamuwezesha mjini na sponsors wa hapa na pale.
asilimia kubwa ni baba ake then sponsors nao wamo.... alisomaga na sis wangu st lawlance kwa museven

ndiyo huko walimtunga jina la go getter money talks n daddy pay

maana ilikuwa shida kidogo tu akipiga simu kwa mshua mkwanja huu hapa na hapo shule inaprovide kila kitu maana st lawlance ni campus ya shule za london colledge kule uganda kwa huku ndio kama feza vile
 
asilimia kubwa ni baba ake then sponsors nao wamo.... alisomaga na sis wangu st lawlance kwa museven

ndiyo huko walimtunga jina la go getter money talks n daddy pay

maana ilikuwa shida kidogo tu akipiga simu kwa mshua mkwanja huu hapa na hapo shule inaprovide kila kitu maana st lawlance ni campus ya shule za london colledge kule uganda kwa huku ndio kama feza vile
Nakumbuka alisemaga kasoma Uganda ila alikua hapendi shule. Yani yote Tisa kumi ni uzudi wake jamani. Huyu Dada sijawahi kuchoshwa na uzuri wake. Ngoja nimuombe arafiki kwanza.
 
Nakumbuka alisemaga kasoma Uganda ila alikua hapendi shule. Yani yote Tisa kumi ni uzudi wake jamani. Huyu Dada sijawahi kuchoshwa na uzuri wake. Ngoja nimuombe arafiki kwanza.
😂😂😂😂 muombe asee

hilo la uzuri nahisi nilishawahi kumwambia Raynavero jinsi nilivyokuwa namtamani uwoya kipindi hata kabla hajawa miss maana alikuwaga anakuja home na sis wangu sema ndio hivyo tu daaah kama janjaro anahit kweli ntamroga haki ya nani maana hadi kesho sitak kuamni janjaro anakula utamu pale
 
Ushaambiwa mjini mtaji mombasa [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Cc. Money Penny
 
Mmewe ni msanii wa bongo fleva, dogo janja.
 
Back
Top Bottom