Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Status
Not open for further replies.
Mkurupukaji balaa. umbea wake siku hizi kama magazeti ya shingongo,kutwa kudokoa vihabari insta na fb kisha kuita breaking news
Wote wanaolipia app ya mangw ni mandezi

Yaani unalipia umbea wakati umejaa huko insta for what!!?
 
Yan mange ana umbea used. Kila ninachosikia mange kasema ni used. Sijui watu wengine wamechelewa kufika mjimi
Yani huu umbeya wa siku nyingi mno aisee uwoyq wenyewe anatoka na mwanasiasa, tena anadanga kwa kwenda mbele
 
Mwache mange avune pesa toka kwa wapenda umbea
Wanao toa hela au wanaolipia website ya mange ili wapate umbea ni wajinga nao watu tuna peruzi bure tu bila hata Mia kwenye website take Nina account tano na zote zijalipia hata mia
Screenshot_20211229-130445.png

Screenshot_20211229-130445.png
 
Ni lazima niwe nayo hii.

siri kibao ambazo haziwezi kuwekwa youtube, fb wala humu jf, utazikuta kirahisi tu kwa M.K.

hakuna haja ya connection, nazama kwenye app fasta tu 😁😁
We ni mange unapiga promo hapa na watu tuna enjoy bure tu liwebsite lako
 
Wanao toa hela au wanaolipia website ya mange ili wapate umbea ni wajinga nao watu tuna peruzi bure tu bila hata Mia kwenye website take Nina account tano na zote zijalipia hata mia
View attachment 2063235
View attachment 2063235
Umefanyaje ku access hyo website.
Hafu mange hizi taarifa ansokoteza ig nilisoma zaidi ya mwezi mmoja na vijana wenyewe wa mweshimiwa baada ya kupostiwa ig wamemkimbia Hamisa
 
Umefanyaje ku access hyo website.
Hafu mange hizi taarifa ansokoteza ig nilisoma zaidi ya mwezi mmoja na vijana wenyewe wa mweshimiwa baada ya kupostiwa ig wamemkimbia Hamisa
Ndio lkn zingine ig hazipo km Leo kapost fayvanyy cjui Ana mimba cjui nini
 
Umefanyaje ku access hyo website.
Hafu mange hizi taarifa ansokoteza ig nilisoma zaidi ya mwezi mmoja na vijana wenyewe wa mweshimiwa baada ya kupostiwa ig wamemkimbia

Umefanyaje ku access hyo website.
Hafu mange hizi taarifa ansokoteza ig nilisoma zaidi ya mwezi mmoja na vijana wenyewe wa mweshimiwa baada ya kupostiwa ig wamemkimbia Hamisa
Nimempa wazo then amenigeuka baad ya kupakia website kufanya kazi vizuri, so nataka nimuonyeshe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom