Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Uwoya anatoka na mimiUwoya anatoka na Bill Lugano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwoya anatoka na mimiUwoya anatoka na Bill Lugano
Wote wanaolipia app ya mangw ni mandeziMkurupukaji balaa. umbea wake siku hizi kama magazeti ya shingongo,kutwa kudokoa vihabari insta na fb kisha kuita breaking news
Huwezi kuwa shahidi wakati umepata taarifa kwenye chanzo kingineGsm asisahau kua mtoto anatoa tigo shaidi mimi mwenyewe nimethibitisha katika chanzo cha kuaminika
Yani huu umbeya wa siku nyingi mno aisee uwoyq wenyewe anatoka na mwanasiasa, tena anadanga kwa kwenda mbeleYan mange ana umbea used. Kila ninachosikia mange kasema ni used. Sijui watu wengine wamechelewa kufika mjimi
Kwani ni nini kimemugandishs hapowewe unafikiri kilichomgandisha hapo ni nini?
Kwani ni nini kimemugandishs hapo
Hv kwann unasoma huu uzi/Nyuzi za namna hii?Hivi kwanini rumours zinaiendesha hii nchi
Kwahyo kisa hela anatoa na mpalamange sio?huyo ni top Class Bitch, Unapotumia hela inalipa kabisa na nyungeza unatoa. Lazima umtafute tena. Sio wale wanajifanya wahuni lakini wakiguswa maeneo utawasikia huko sitaki
Kwahyo kisa hela anatoa na mpalamange sio?
Wanao toa hela au wanaolipia website ya mange ili wapate umbea ni wajinga nao watu tuna peruzi bure tu bila hata Mia kwenye website take Nina account tano na zote zijalipia hata miaMwache mange avune pesa toka kwa wapenda umbea
Sana mkuu watu tuko freemode kwenye website yakeWote waliolipia app ya mange mabwege
We ni mange unapiga promo hapa na watu tuna enjoy bure tu liwebsite lakoNi lazima niwe nayo hii.
siri kibao ambazo haziwezi kuwekwa youtube, fb wala humu jf, utazikuta kirahisi tu kwa M.K.
hakuna haja ya connection, nazama kwenye app fasta tu 😁😁
Dah Irene wa Leo na yule Oprah nitofauti wa Sasa kakuaWenyew wanaita top service etii ndo maana hachuji
Umefanyaje ku access hyo website.Wanao toa hela au wanaolipia website ya mange ili wapate umbea ni wajinga nao watu tuna peruzi bure tu bila hata Mia kwenye website take Nina account tano na zote zijalipia hata mia
View attachment 2063235
View attachment 2063235
Kama unatka website ya mange bila kumlipa hata Mia pm meDah Irene wa Leo na yule Oprah nitofauti wa Sasa kakua
Sawa mkuuKama unatka website ya mange bila kumlipa hata Mia pm me
Ndio lkn zingine ig hazipo km Leo kapost fayvanyy cjui Ana mimba cjui niniUmefanyaje ku access hyo website.
Hafu mange hizi taarifa ansokoteza ig nilisoma zaidi ya mwezi mmoja na vijana wenyewe wa mweshimiwa baada ya kupostiwa ig wamemkimbia Hamisa
Umefanyaje ku access hyo website.
Hafu mange hizi taarifa ansokoteza ig nilisoma zaidi ya mwezi mmoja na vijana wenyewe wa mweshimiwa baada ya kupostiwa ig wamemkimbia
Nimempa wazo then amenigeuka baad ya kupakia website kufanya kazi vizuri, so nataka nimuonyesheUmefanyaje ku access hyo website.
Hafu mange hizi taarifa ansokoteza ig nilisoma zaidi ya mwezi mmoja na vijana wenyewe wa mweshimiwa baada ya kupostiwa ig wamemkimbia Hamisa