Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee bongo nyoso hii sikuhizi wanaume wanadanga kabisa, aisee Vanessa alivumilia mengi kwa huyo jux kupita maelezo wallah,
Hafu huyo GSM si ndo kazaa na mtoto wa director Joan, katoto ka kike kamefanana hatari na huyo mwenyewe
Mtoto wa director Joan ni yupi?? Kumbe director Joan ni kabibi flan hivi

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aisee bongo nyoso hii sikuhizi wanaume wanadanga kabisa, aisee Vanessa alivumilia mengi kwa huyo jux kupita maelezo wallah,
Hafu huyo GSM si ndo kazaa na mtoto wa director Joan, katoto ka kike kamefanana hatari na huyo mwenyewe
Kwahiyo hako katoto ka kike ni KAHENDISAMU GIRL?
 
Mtoto wa director Joan ni yupi?? Kumbe director Joan ni kabibi flan hivi

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Anaitwa Sara pia na yule neneeblackchyina naye ni mtoto wake, so director Joan Sasa hivi ni Bibi ana wajukuu wawili, hafu na yeye umri umeenda bado anazaa na mabinti zake si aibu aisee
 
[emoji23][emoji23] inategemea watoto wa kike 99% hufanana n baba zao, baba akiwa hechibii na mtoto anakuwa mzuri
Hii inawasumbuaga sana wamama wanaozaa nje ya ndoa... Unakuta kaolewa na mtu mwenye sura personal, halafu kanazaliwa katoto kamefanana na jirani mwenye sura ya ki-HB
 
Hii inawasumbuaga sana wamama wanaozaa nje ya ndoa... Unakuta kaolewa na mtu mwenye sura personal, halafu kanazaliwa katoto kamefanana na jirani mwenye sura ya ki-HB
Sasa jamani unazaaje na mwanaume mmoja ukute ana sura personal akuharibie watoto wote, ndio maana anachepuka kubadilisha damu kidogo apate ka hechibii kidogo
 
Hapana jux anakula, ndo alikuwa anamla nedy, sasa GSM ndo amemchukua nedy, ko jux yupo single.
GSM nae anakula tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Afu sijui jux na yule mkurugenzi wa Hyatt regency waliishia wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alimuacha kisa jux anamla nedy, yaan mambo vururu tyuuj.
Kumbe bwana J4 ni Scania Mende 😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na Jux mwenyewe analiwa piaa.
Na ULIVYOWAKAZANIA mkuu uyafikiri unalipwa/kufaudika na chochote kama wewe unatoa tobo ivi unafikiri kutoa mali kwa mwanaume mwenzako ni kazi ndogo?? Yaani unawachafua watu utafkr uliwai kuwaona labda wanakulana?? Mkuu ata kama wanabanduana wafichie siri basi yaani unavyoandika kwa FURAHA kuwa flani analiwa inaonekana kwako ni jambo la FURAHA SANAA AISEE
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom