Irene uwoya hajawahi kumiliki gari

Irene uwoya hajawahi kumiliki gari

Status
Not open for further replies.

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Licha ya umaarufu mkubwa aliyonao,wingi wa filamu alizokwishashiriki pamoja na zile alizotengeneza mwenyewe,achilia mbali uwezo wa wazazi wake wanaoishi mbezi beach dar,lakini super star kiwango nchini irene uwoya,tofauti na mtazamo wa watu wengi wanaomsikia ama kumuona mtaani akitanua na mikoko mbalimbali na kuonekana viwanja kibao akila bata,lakini mpaka leo hii hajawahi kuthubutu kumiliki mkoko wake,yote anayotanua nayo ni ya kukodisha au kuazima kwa rafiki zake.
 
ila nampenda irene havai combain za mtaa wa kongo kama wengine..
Eti wanadai anakaa tandale
 
Sio kipaumbele chake, kwani ni lazima au kanuni kuwa na gari ukiwa supa staa?
 
Sio kipaumbele chake, kwani ni lazima au kanuni kuwa na gari ukiwa supa staa?

Tatizo sio lazima uwe na gari,tatizo mashauz mengi wanajifanya matawi kubadilisha magari kutwa,kumbe hamna kitu,hilo ndo tatizo unafikir naweza kusema riyama hana gari??,siwezi kwa sababu maisha yake yapo simple sio hao wauza sur kumbe ma karubandika
 
kama magari ya kuendesha yapo kuna umuhimu gani wa kununua gari?

wanaokimbilia kununua magari ni wale waliyoyajua magari ukubwani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom