Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Unajua upo jukwaa lipi?Watoto wa insta na facebook wanapokuwa wanaleta hoja zao na umbea wao kwa ma great thinkers .. we think only about life not about bullshit ..
Unajua upo jukwaa lipi?
unajua upo jukwaa gani?Hance wew ni K ao M ? And how old are u mkuu??
Unamaanisha nini mkuu?Uzuri wa ingine ni kilometa iliyotembea.
sawaWote hao hawana uzuri wa kuishinda buku tano.
Muda mwingine mwache ufalaWatoto wa insta na facebook wanapokuwa wanaleta hoja zao na umbea wao kwa ma great thinkers .. we think only about life not about bullshit ..
Huyo Tunda ana ziwa kubwa kama nn sijuwiIrene Pancras Uwoya kiukweli ni mzuri na mastaa wengi wa kike na wakiumw huwa wanampa sifa yake ya uzuri ila tuseme ukweli kabisa bila kung'ata maneno ,Tunda ni mzuri mara kumi ya huyo Uwoya sema ndio hivyo Tunda hana shobo shobo za hovyo kama huyo Uwoya.
Tunda ni mzuri jamani daaaaah.
View attachment 901162View attachment 901164View attachment 901166View attachment 901167
Mzee ulisoma ubungo Islamic?Muda mwingine mwache ufala
hahaa kwahiyo wataka kutuambia kuwa ana zeeka na umbea wake !!?Mleta mada alizaliwa 1982 .ana umri wa miaka 36 .ila kaleta uzi ambao hata mimi siwezi kuuleta
Tunda mzuri sana, Nakubali kabisa.Irene Pancras Uwoya kiukweli ni mzuri na mastaa wengi wa kike na wakiumw huwa wanampa sifa yake ya uzuri ila tuseme ukweli kabisa bila kung'ata maneno ,Tunda ni mzuri mara kumi ya huyo Uwoya sema ndio hivyo Tunda hana shobo shobo za hovyo kama huyo Uwoya.
Tunda ni mzuri jamani daaaaah.
View attachment 901162View attachment 901164View attachment 901166View attachment 901167