Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu feki tafuta picha walivyo ktk uhalisia wao uoneIrene Pancras Uwoya kiukweli ni mzuri na mastaa wengi wa kike na wakiumw huwa wanampa sifa yake ya uzuri ila tuseme ukweli kabisa bila kung'ata maneno ,Tunda ni mzuri mara kumi ya huyo Uwoya sema ndio hivyo Tunda hana shobo shobo za hovyo kama huyo Uwoya.
Tunda ni mzuri jamani daaaaah.
View attachment 901162View attachment 901164View attachment 901166View attachment 901167
NdiyoMzee ulisoma ubungo Islamic?
Kuna siku nilimuona yaan hana uzuri wowote ..... ana mwili mbaya kalegea legea halafu anaongea kwa kudeka basi watu wakawa wanamuona kama zezetaView attachment 901422
Siwaamini hawa viumbe wa Instagram
Huwa ana takko flani kama kiroba cha unga limekaa vibaya, ila sura anayoKuna siku nilimuona yaan hana uzuri wowote ..... ana mwili mbaya kalegea legea halafu anaongea kwa kudeka basi watu wakawa wanamuona kama zezeta
Uzuri bandia
Mleta mada ukome kumlinganisha Uwoya na vitakataka.
Hivi we jamaa waga ni mwanaume kweli?Irene Pancras Uwoya kiukweli ni mzuri na mastaa wengi wa kike na wakiumw huwa wanampa sifa yake ya uzuri ila tuseme ukweli kabisa bila kung'ata maneno ,Tunda ni mzuri mara kumi ya huyo Uwoya sema ndio hivyo Tunda hana shobo shobo za hovyo kama huyo Uwoya.
Tunda ni mzuri jamani daaaaah.
View attachment 901162View attachment 901164View attachment 901166View attachment 901167
hao wametumika mno kupita maelezo yaani over used hawafai hata kidogoUnamaanisha nini mkuu?