Irene Uwoya na Dogo Janja wazidi kudhalilishana

toka miaka ile Dogo janja anamsumbua Madee, haendi shule anakesha night club, na mrembo mmoja jina la kwanza nimelisahau ila la pili alikua anaitwa Fabian.Alikua miss Swahili kitu kama hicho.Wahenga wenzangu mtaniweka sawa kwa hili, nilitegemea dogo kuibuka na MKONO WA NYANI maana ile kasi ya kutembeza gegedo kwa waliomzidi umri, ma sister du wa mjini msingi kiuno.
 
Huyu Irene Uwoya mpaka aje kupata mtu wa kumuoa itakuwa kazi kweli hapa Bongo maana ana sifa mbaya sana na wanaume. Kila mwanamme aliyelala naye anamsanifu kuanzia Diamond, Kanumba, Dogo Janja, na wale wanaomla kwa mkopo ili akithi mahtaji yake ya kila siku wanamchora tu. Laana kajipa mwenyewe kumtesa Ndikumana, hatoweza tena kupata mwanamme wa ukweli labda atokee fala tu asiyejitambua toka huko Mwanza vijijini au Rombo maporini na meno ya kuoza. Mastaa wa kibongo ni fak mno, hawana issue hata kidogo. HAKUNA staa wa maana hapa Bongo, never.....wote wako useless tu.
 
Wote wawili waitwe katika kamati ya maadili ya bunge ata kama ni kwa pingu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wimbo hatari sana..[emoji443][emoji443]nimepewa kuonja nataka vunja sahaniii..oh nivunjevunje[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado sijaona faida ya kumdhalilisha mtu uloachana nae. Au hawajui ukionyesha chuki kwa zilipendwa wako ndo anazidi kukukaa moyoni???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…