ni nani huyu aliye "wanasa" ???
viherehere vingine bwana....
Baada ya uvumi kuenea kuwa, ndoa ya muigizaji kiwango bongo, Irene Pancras Uwoya imevunjika, wawili hao walinaswa Live Airport nchini Rwanda wiki iliyopita, ambapo mke huyo wa Ndikumana alienda nchini humo kumsabahi husband wake.
View attachment 206355
View attachment 206356
Namkubali huyo dada. Anaigiza vyema! Mtu akiwa star mambo yake binafsi huingiliwa sana. Ndio maana hata vitu kama ndoa kudumu ni nadra sana. Big up Irene!