Irene Uwoya na Ndikumana wanaswa "LIVE" Airport

Irene Uwoya na Ndikumana wanaswa "LIVE" Airport

ni nani huyu aliye "wanasa" ???
viherehere vingine bwana....
 
Yaani hapo inaonesha kama Uwoya kaenda kuchukua pesa tu, halafu picha ya pili ndikumana anaonekama kama anambembeleza irene ila irene haelekei kuwa na mapenzi na jamaa, jamaa yupo tayari kuwa mume -----.
 
Baada ya uvumi kuenea kuwa, ndoa ya muigizaji kiwango bongo, Irene Pancras Uwoya imevunjika, wawili hao walinaswa Live Airport nchini Rwanda wiki iliyopita, ambapo mke huyo wa Ndikumana alienda nchini humo kumsabahi husband wake.

View attachment 206355

View attachment 206356

Namkubali huyo dada. Anaigiza vyema! Mtu akiwa star mambo yake binafsi huingiliwa sana. Ndio maana hata vitu kama ndoa kudumu ni nadra sana. Big up Irene!
 
ni nani huyu aliye "wanasa" ???
viherehere vingine bwana....

Uwoya anafahamika sana rwanda na congo, wanamuitaga queen wa bongo movie, uwa anashobokewa sana akienda uko, inshort anakimbiza
 
Back
Top Bottom