Irene Uwoya na Tausi walala selo

Irene Uwoya na Tausi walala selo

Wapi mkuu?
Ukiingia kula bata kiota cha wajeda yaani mkoko wako uwe ndani eneo la tukio ukitoka unapiga hatua nne unaingia barabarani lakini kama ume-park mbali ile unapiga hatua kulifuata gari unasikia arooooooo kuja hapa
 
Ukiingia kula bata kiota cha wajeda yaani mkoko wako uwe ndani eneo la tukio ukitoka unapiga hatua nne unaingia barabarani lakini kama ume-park mbali ile unapiga hatua kulifuata gari unasikia arooooooo kuja hapa
Si kwa msasani mkuu...huwa tunakesha pale sijawahi ona kitu kama hicho!

Gari zenyewe walinzi wajeda
 
Moja kati ya stori zilizosambaa katika mitandao ya kijamii leo kuhusiana na muigizaji Irene Uwoya ni stori ya kudaiwa kuwa alikamatwa na Polisi jijini Mbeya na kulazwa katika kituo cha Polisi Mbeya Mjini.

Irene na baadhi ya wasanii wengine akidaiwa kuwemo Mtanga na Tausi walikamatwa usiku wa Jumamosi ya September 22 kuamkia September 23 baada ya kukutwa Bar Mbeya wakiwa wamevuka muda wa bar kufungwa.

Kwa kawaida Bar inatakiwa kufungwa saa sita usiku ila wao walikamatwa na Polisi wakiwa wamevuka muda huo, kitu ambacho kiliwafanya walale ndani na kutolewa kwa dhamana jioni ya September 23, AyoTV imeongea na Fadhili Atiki ambaye ndio muandaaji wa shughuli
WENZETU KENYA UKIKAMATWA NA POLISI USIKU UKIWA UMELEWA/UNAKUNYWA POMBE, POLISI WANAKUSINDIKIZA MPAK NYUMBANI KWAKO WANAHAKIKISHA UMEINGIA KWAKO NDIO WANAONDOKA
 
Moja kati ya stori zilizosambaa katika mitandao ya kijamii leo kuhusiana na muigizaji Irene Uwoya ni stori ya kudaiwa kuwa alikamatwa na Polisi jijini Mbeya na kulazwa katika kituo cha Polisi Mbeya Mjini.

Irene na baadhi ya wasanii wengine akidaiwa kuwemo Mtanga na Tausi walikamatwa usiku wa Jumamosi ya September 22 kuamkia September 23 baada ya kukutwa Bar Mbeya wakiwa wamevuka muda wa bar kufungwa.

Kwa kawaida Bar inatakiwa kufungwa saa sita usiku ila wao walikamatwa na Polisi wakiwa wamevuka muda huo, kitu ambacho kiliwafanya walale ndani na kutolewa kwa dhamana jioni ya September 23, AyoTV imeongea na Fadhili Atiki ambaye ndio muandaaji wa shughuli
Sheria inakataza kuuza vileo baada ya saa hizo, Sheria haikatazi kunywa baada ya saa hizo. Ilikuwa Ni uonevu na kinyume Cha Sheria.

Mara zote anayetakiwa kukamatwa Ni muuzaji na sio mnywaji.

Wafungue kesi ya madai kudai fidia kwa kunyimwa Uhuru wao bila uhalali wowote
 
Ndio maana mi nimeamua kunywa Gongo tu siku hizi. Mpaka majoo sisi tunakula nguvu kumeza tu, Polisi wakija Mama Muuza anawatoa kimtindo tunaendelea
 
Back
Top Bottom