Irene uwoya–siwezi kuchuja, mwendo ni ulele

Irene uwoya–siwezi kuchuja, mwendo ni ulele

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
54,762
Reaction score
59,204
MUIGIZAJI Super Star katika tasnia ya filamu kwa hapa nchini Tanzania Irene Uwoya amebainisha kuwa pamoja na kuzaa mtoto wake wa Kiume lakini hategemei uzazi huu kumbadilisha uhusika na kuwa tofauti na alivyokuwa akiigiza awali, katika picha alizowahi kuigiza hapo awali, Irene ambaye ni mwenye furaha wakati wote amebahatika kujifungua mtoto wa kiume aliyempatia jina la Krish
irene.jpg
 
kwani kuzaa kunamfanya mtu anachuja au ndo anazidi kuwa mrembo jamani
 
MUIGIZAJI Super Star katika tasnia ya filamu kwa hapa nchini Tanzania Irene Uwoya amebainisha kuwa pamoja na kuzaa mtoto wake wa Kiume lakini hategemei uzazi huu kumbadilisha uhusika na kuwa tofauti na alivyokuwa akiigiza awali, katika picha alizowahi kuigiza hapo awali, Irene ambaye ni mwenye furaha wakati wote amebahatika kujifungua mtoto wa kiume aliyempatia jina la Krish
irene.jpg
kwani ww ndiye Ndikumana au sub?, maana kuchuja au kutochuja kutakusaidia nini?. Nijibu tafadhari.
 
Jamani mwenye contact zake anisaidie! Niendeleze kipaji chake na amini ulaya,asia,mashariki ya mbali na marekani atajulikana!!!
 
hapa umeongea,mazoezi ni jambo la msingi sana Ivuga watu tunapuuzia na kula vizuri sio kwa sababu umejifungua kila kinachopita pembeni unapeleka.
Shosti ni kweli lakini mwanamke wa ktz asiponenepeana kitenge atavaaje?? unanisoma shosti
 
mbona S Ivuga mkali hivyo au ndo na wewe uko kwenye kinyang'anyiro nin...
 
wewe ni MPUMBAVU humu ndani sio lazima kuchangia kila post....unaweza kuanza zako huko..

Wewe ni bogus mara mia zaidi...
  1. Ya huyo mama yanakuhusu nini kama sio umbea na upashukuna
  2. Kwani hakichuja au asipochuja wewe inakuharibia nini?
  3. Nadhani uangalie zaidi upande wako...........kuliko kudandia wake au waume wa wenzio..
 
Back
Top Bottom