Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kumbe visima vya maji dili?Madam original Irene Pancras Uwoya huu mwaka wake kwa kweli maana duh anavimba sana mpaka wasanii wenzake wanatamani hata kumloga ili kumshusha chini na chanzo cha yote haya ni baada ya Irene kumpata huyu mwarabu anayeishi dubai ambaye anamiliki visima kadhaa vya mafuta .
Irene licha ya kuwa na yeye pia kwao si haba, ila kwa sasa amezidi kung'aa kifedha na ni kawaida sana kutumia zaidi ya laki tano kwa siku huku akiwa na wapambe kedekede kila anapoenda .
Ila ajiongeze bila hivyo atatumiwa kisha atatemwa kama big G ,inabidi amkamue haswa huyo jamaa ili wakisha achana awe angalau na yeye amechuma mali kadhaa.View attachment 916545
Wewe endelea kutuletea habari unazorusha.. achana na hao wanaokubeza kukuonea wivu kwa sababu wengi data zao ni za kuhesabu mb zinavyoisha kwa udunchu ..
Dogo janja bana alikuwa ananichekesha akitamba airini kamfuata kwasababu ana mbookubwa.Dogo njanja hapo..
Madam original Irene Pancras Uwoya huu mwaka wake kwa kweli maana duh anavimba sana mpaka wasanii wenzake wanatamani hata kumloga ili kumshusha chini na chanzo cha yote haya ni baada ya Irene kumpata huyu mwarabu anayeishi dubai ambaye anamiliki visima kadhaa vya mafuta .
Irene licha ya kuwa na yeye pia kwao si haba, ila kwa sasa amezidi kung'aa kifedha na ni kawaida sana kutumia zaidi ya laki tano kwa siku huku akiwa na wapambe kedekede kila anapoenda .
Ila ajiongeze bila hivyo atatumiwa kisha atatemwa kama big G ,inabidi amkamue haswa huyo jamaa ili wakisha achana awe angalau na yeye amechuma mali kadhaa.View attachment 916545
Wanoko wanadai siyo ana kibamia bali airinii alizoea kubwengwa na mijitu yenye mijolobe mikubwa kaa mikono ya watoto wachanga "toddlers"Dah, Dogo janja kumbe ana kibamia!!! Bwawa limemshinda.
Kumbe yumo mkuu?Madame Ritta ndiye mdangaji ninaempa credits.
Tanzania tumebarikiwa kwa hilo. Fikiria kule Karatu mpaka Babati wako wangapi ambao hata wanja hawaujuiIla Irene ana mvuto sana, ni mrembo haswa
Hamfikii Warumi, anachamba huyo. Hance Mtanashati ni mpoleHuyu jamaa anajua mambo ya watu balaa
Hance Mtanashati , mwanzoni nilikua kwenye kundi la wanaodharau na kutokutilia maanani post zako wewe na warumi .
Kwa jamii yetu ya kitanzania na maendeleo kwenye matumizi ya mitandao ya kijamii, tafuta namna ya hichi kipaji au shughuli ikuingizie pesa, usiidharau, sio kila mtu anaweza hii mambo.
Ni hayo tu mkuu.
Ok, i can see why!