Irene Uwoya tangu ampate mwarabu anayemiliki visima anaishi kibosi bosi sana

Ila muarabu anafaidi aisee, Yani dada yetu Dah
 
Ha ha ha ha ha
 
Mkuuu ulipo andika mwarabu nimejuwa ni yule Mwarabu fighter wa Dabriusibi
 
Wanadanga na watu wanamihela ila lamaana hawana zaidi ya kuvaa fake designer tu
Hongera zamu yake kuosha IG
 
Hawa mademu hawawezi kuwa na uhusiano wa mapenzi na mtu ambaye anaheshima zake haswa mfanyabiashara, hapo kakutana na mpiga dili na wanawake wanavyopenda kuwatambia wenzao anajiona kapata mmiliki wa visima, hivi mnaelewa visima vya mafuta havimilikiwi kama vile vya maji? Acheni kutuletea udaku usiofaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…