greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,276
Natia uzito hapa.hapa ndio nimekudharau kabisa....
baki na imani yako usitake kila mtu aishi kutokana na imani yako inavyotaka
pombe tunapiga na kitimoto tunakula and gues what? at the end of the day mimi na wewe wote tutakufa tu...
shubaaaamit
Sent using Jamii Forums mobile app
Wit ushawahi kulalaga hapo Wanyama Hotel?Sinza mori mbele kidogo ya la Chaz...kama unaelekea Jo' Berg hoteli or Wanyama hotel..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kitu kinaitwaKwa uandishi huu nauhakika wewe ni msomi,mkuu hivi leo mimi nikianzisha dini ikasema kuvaa kanzu ni haramu ,utanielewa nikisema nina uvumilivu wa kidini lakini nasema '' waislamu na mikanzu yao''
Tumekuelewa sana ila hauna point. Imani yako baki nayo moyoni, usitake kila mtu aishi upendavyo. Uwoya ni msanii wa filam na Majuto pia alikuwa msanii (muasisi) wa filam kwahiyo ni wazi kuwa amechora picha ile katika kumuenzi na kuthamini mchango wake kama ambavyo angeweza kuchora picha nyingine yoyote.
Samahani kwa mfano huu " hivi kama ni wewe picha ya Mzazi wako aliyefariki iwekwe Bar utajisikiaje?Tumekuelewa sana ila hauna point. Imani yako baki nayo moyoni, usitake kila mtu aishi upendavyo. Uwoya ni msanii wa filam na Majuto pia alikuwa msanii (muasisi) wa filam kwahiyo ni wazi kuwa amechora picha ile katika kumuenzi na kuthamini mchango wake kama ambavyo angeweza kuchora picha nyingine yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama alikuwa kioo cha jamii (Kiongozi, msanii, mwanamichezo n.k) nitafarijika sana kuona jamii imetambua na kuenzi mchango wake. Kinyume na hapo hakuna anayeweza kuchora picha ya mtu baki asiye na mahusiano naye na asiye mashuhuri.Samahani kwa mfano huu " hivi kama ni wewe picha ya Mzazi wako aliyefariki iwekwe Bar utajisikiaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani alieharalisha ni mm au Serikali mm nitaizuia nafsi yangu kuviendea vitu vinavyotokana na pombe lakini ikiwa Serikali inakusanya mapato huku hilo linawahusu viongozi wenyewe ndio wanajua watamalizana vipi na Mola waoEti pombe ni haram! Wakati kiasi kikubwa vha kodi kinatoka kwenye pombe? Elim bure kwa mwanao, huduma za afya, barabara unazopita, umeme....vyote hivyo vinamchango mkubwa kutoka kwenye kilevi. Vigomee vyote hivyo utakuwa umejitende haki.
Ok kama thinking capacity yko imeishia hapo Xawa!!!Kama alikuwa kioo cha jamii (Kiongozi, msanii, mwanamichezo n.k) nitafarijika sana kuona jamii imetambua na kuenzi mchango wake. Kinyume na hapo hakuna anayeweza kuchora picha ya mtu baki asiye na mahusiano naye na asiye mashuhuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmhhhh? Nahisi na ww itakuwa mumini mzuri wa Liquid konk masterSijashtuka na wala sioni kosa la uwoya.
Atakua na kosa kama labda hajaongea na familia za wafu wote kuhusu matumizi ya picha zao na sio Majuto tuSijashtuka na wala sioni kosa la uwoya.
Huyu Mzee ni Alhaj na alikuwa anaswali swala tano na amejenga msikiti Tanga hao akina Sharo na Ngwea cjawagusa kwasababu hawakuwa na Impact yeyote katika dini1. Kwanza kabisa elewa mfu yeyote hajui chochote,hata picha yake ingebandukwa guest house hakuna anachosikia wala kuumia.
2. Hakuna sehemu yeyote inayosema pombe ni haramu.
3. Mbona waalimu kibao wanapiga ponbe afu ww unaongea kwa mihemko sana kana kwamba hakuna muslims hata 1 anaetumia.
Ukiangalia picha za wasanii wafu wapo wengi kwanini umemuona Majuto tu? Vipi kuhusu Ngwair,Sharo n.k? Hao sio wafu ama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo nyinyi mnaliangalia suala hili kirahisi tena kwa jicho moja la kutumia akili za kuzaliwa na Utashi mm nalizungumzia kiimani ya kiislam kuwa halifai hapo ndio tunaposiganaAtakua na kosa kama labda hajaongea na familia za wafu wote kuhusu matumizi ya picha zao na sio Majuto tu
Sent using Jamii Forums mobile app
UmenchekeshaMakosa makubwa sana amefanya bora angeweka picha ya mama yake
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Majuto kafa au yupo hospitali?Tatizo nyinyi mnaliangalia suala hili kirahisi tena kwa jicho moja la kutumia akili za kuzaliwa na Utashi mm nalizungumzia kiimani ya kiislam kuwa halifai hapo ndio tunaposigana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu akifa anaenda wapi? Labda tuanzie hapoHuyu Mzee ni Alhaj na alikuwa anaswali swala tano na amejenga msikiti Tanga hao akina Sharo na Ngwea cjawagusa kwasababu hawakuwa na Impact yeyote katika dini
Sent using Jamii Forums mobile app