Irene Uwoya unachomfanyia Mzee Majuto Mungu anakuona

Mtu akifa anaenda wapi? Labda tuanzie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiman ya kislam kuna Vituo 3 mwanadamu anavipitia

kwanza hapa duniani

Pili Bar-Zakh baada ya kufa anakuwa yupo ktk Maisha ya Kaburini ambayo yanakuwa marefu kuliko ya duniani

Tatu Akhera baada ya kufufuliwa atafanyiwa hesabu siku ya mwisho Judgement day / Ressuration Day kisha Paradise au Hellfire

Kwaiyo mtu akifa anakuwa katika kituo cha pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rhetorical question?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nauliza sababu mm najua majuto kafa,sasa kama kafa anawezaje kuhisi maumivu?? Anawezaje kuonekana mbaya wakati hayupo? Kama angekuwa hospitali anaumwa ningesema sawa sio poaa kutumia picha zake kibiashara kisa mzee wa watu hajiwezi,na kama angejua ingemuumiza sana,lakini hayupo sasa.

Wewe badala ya kumuonea huruma mfu, nenda kwa familia yake wape taarifa kuwa kuna mtu anatumia picha za mzee je mna taarifa?? Kisha kama hawana taarifa fanya kuwapa muongozo jinsi ya kumfungulia huyo Uwoya kesi na sio kuja kulalamikia wafu na kuwaonea huruma kama wanasikia vile.

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu kuuza pombe hakuna shida kwa wanaopenda, issue ni tangazo hilo anatakiwa kulipia sehemu kwa familia. Mfano akina Michael Jackson bado wanaingiza mkwanja mrefu sana wa karibu dollar 40,000 licha ya kuwa walishakufa. Familia inaendelea kunufaika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah kuna gazeti limeripoti shekhe ameiba nguruwe huko Mwz,very sad.
 
Kamwe siwezi kufanya kazi ya kipato Haramu Nina maisha yangu sinahaja na ajira ya mtu pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ya bikidude mbona hujazungumzia unauchungu kuliko mke wa mzee majuto vp ulishawahi kumsaidia yule mjane japo kwa mche wa sabuni unaijua dini vizuri? au we kama nani unahukumu? Msemaji wa familia au? #acha unafiki huendi mbinguni#

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za waafrika. Uzi hadi page ya 8 kisa karatasi iliochorwa sura ya marehemu, ushirikina tu. Rudisheni na michango ya wasanii wakti wa ugonjwa,kifo hadi mazishi,maana hela inatoka kwenye biashara kama hizo.
 
ni vema ukasema Bar hiyo iko wapi watu tuvinjari na kuweza kutoa maoni sahihi hapa ambayo yatasaidia familia...
1.Kuna haki miliki ya mtu na taratibu za kudai Fidia kama kweli picha hiyo ipo katika kuvutia biashara…
2. POMBE SIO HARAMU kwa wote ...kitu haramu ni issue ya kiasi na kujipimia hata chakula ukizidisha utavimbiwa na itakuwa shida….nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…