Irene Uwoya

Irene Uwoya

Status
Not open for further replies.
Hivi nauliza:

Nyerere na Jomo Kenyatta walikuwa wanakula kuku mjamzito kavuka barabara kazi ni msingi wa maisha baba tau nimekutendanini lahaula lakwata hakuna kitu kibaya %$%$^& )(**)_)+_+ @#!@#@#$#%^$%$^^%&*&(*(

attachment.php
 

Attachments

  • Uwoya-Na hapa je.jpg
    Uwoya-Na hapa je.jpg
    14.6 KB · Views: 663
Currently Active Users Viewing This Thread: 19 (8 members and 11 guests)

Ipo kazi!
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 19 (8 members and 11 guests)

Ipo kazi!

Mkuu wenye kiu wengi..unafikiri wewe pekee yako na Yo Yo?

Duh.....Hakika huyu binti ni mrembo! Anyway....waswahili husema....Nguruwe pita leo sina mkuki....
 
Naona Moelex na YE na wenyewe wanakula chabo kimya kimya....heheheheheheee
 
Naona Moelex na YE na wenyewe wanakula chabo kimya kimya....heheheheheheee

Sina usemi mazee, inabidi kuvuta pumzi...

Lahaula swadaata. Hii ndio kusema toto limefinyangwa, mwenyezi kaumba!
 
vica vipi maendeleo mkuu?
makitu nimeyaota leo
 
Mkeo au yeyote yule akikuta hii ni nyumba ndogo lazima akusamehe,maana ataona tu kuna kitu ulufata si kosa lako.
 
Kamwulizeni Kanumba!! niliona sinema moja uchwara waliyocheza pamoja, nadhani wanajuana vizuri sana kinyendo na kitabia.
 
Kuna misemo hii:
- Kwa aoaye mke mzuri hana tofauti na mtu alimaye miwa (mazao yapendwayo) barabarani
-Uzuri wa mwanamke ni umbali uliopo toka kwake zidisha hadi ulipo na upumbafu ulionao
-Pemehujapo pema; ukipeme sio pema tena
-Usione vyaelea; vimeundwa

Kazi kwelikweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna misemo hii:
- Kwa aoaye mke mzuri hana tofauti na mtu alimaye miwa (mazao yapendwayo) barabarani
-Uzuri wa mwanamke ni umbali uliopo toka kwake hadi ulipo zidisha na upumbafu ulionao
-Pemahujapo pema; ukipema sio pema tena
-Usione vyaelea; vimeundwa

Kazi kwelikweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hana Uzuri owote ule kumshinda Mke wangu.

Maana wanasema Uzuri wa Mwanamke sio sura ila ni tabia yake.

kwa kuwa huyu tabia yake sio nzuri hivyo haijalishi usura wake ulivyo atabaki kuwa sio mzuri...... ina haja gani kuwa na mke mzuri wa sura tabia kama choo cha City?
 
kaka wazuiri wapo, kabla ya kuoa kwanza unaanza na sura na umbile mambo ya tabia ni baaadae
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 29 (11 members and 18 guests)

??? - Uzuri wa Mke ni Urembo - Tabia baadaye - Tutarekebishana ndani-kwa-ndani ?????
 
Kweli mwenyezi Mungu kaumba"God perfect creation";sasa naomba mtu mwenye contact zake ani-pm.
Siyo utani.
 
Uzuri wa bucha nyama haitofautiani. nunua manzese ama masaki ladha ileile. muhimu ujue kuipika ikaiva na makolombwezo ukatia.
 
Wazee hii kitu naomba tu niipe sifa yake!! Yaani Kidoogo amfikie mchumba wangu
 
Mwanamke ni tabia si sura!!!! Kwanza atakayethubutu kumuoa Irine Uwoya ajue anataka ndoa ya contract!!!!! Hutaweza kuvumilia tabia zake chafu kama choo cha stendi au vinginevyo nawe mume uwe na tabia kama yake. Kwanza hakuna descent man atataka kumwoa Irine Uwoya. Mwisho wa siku ataishia kuwa nyumba ndogo ya sugar daddy au ataishia kuolewa na mwanaume asiye na sifa za kuwa baba wa familia. Yetu macho. Kama unamtaka kwa short time starehe songa mbele na kujipendekeza kwake ila sijua dau lake ni kiasi gani au yeye hana kiwango??? Mastaa wengine huwa ni kwa dola tena za kilo nyingi sasa yeye sijui kima cha chini huanzia ngapi????!!!!!

Try to look for a wife who will be caring and dedicated mother for you and your children. Tofauti ha hapo unajitafutia kujichimbia kaburi au matatizo katika ndoa na uwe tayari kuishi maisha ya ndoa chungu mpaka uingie kaburini. Nakuambia hakuna pigo kubwa kama nyumbani kwako hakuna furaha, hujisikiii kurudi nyumbani baada ya shughuli za siku, unatamani uendeleaa kuwa vijiweni urudi usiku wa manane nyumbani ukajichomeke kwenye neti kimya kimya!!!! na kuamka alfajiri uwahi supu na mtori wa vijiweni!!!! Du be carefully.
 
Wazee hii kitu naomba tu niipe sifa yake!! Yaani Kidoogo amfikie mchumba wangu

Teh te hteh teh

umenifurahisha sana, atleast unaweza kuuona uzuri wa mchumba wako ni zaidi ya huyu nyapu....

lol
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom