Irente, Lushoto: Je, wajua chanzo cha jina Irente?

Wajerumani wako makini sana, walijaribu mazao mengi lakini walishangaa sana kuona udongo wa Lushoto umestawisha viazi vya Ireland, apples, pears, strawberries nk.

Nisikiavyo waliacha rupia nyingi Lushoto.
 
wajerumani waliujenga huu mji kwa weredi zaidi ,Pia udongo unaopatikana hapa una rutuba ya kutosha.
 
Wajerumani wako makini sana, walijaribu mazao mengi lakini walishangaa sana kuona udongo wa Lushoto umestawisha viazi vya Ireland, apples, pears, strawberries nk.

Nisikiavyo waliacha rupia nyingi Lushoto.
... Lushoto ndio mjerumani alitaka kujenga HQ yake sema WW1 ikamtimua.
 
Kumbe!
 
Bila WWI tungekuwa taifa mojawapo liliendelea sana. Maana Mjerumani alipafanya Kama nyumbani kwake na tungechelewa kupata uhuru. Na ccm isingekuwepo kabisa maana tungepata uhuru kwa mtutu.

Na tungekuwa vizuri.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
imefanana na ya Kyela kuna eneo linaitwa Bujonde jina Bujonde” limetokana na neno beyond ambalo Wanyaki wa kyela awakulinyaka vizuri kutoka kwa mzungu...sina uwakika nilipewa kahistori na Mmjomba mda kidogo
 
Ngoja wiki ijayo nikaoshe nyota hapo
...nenda lakini nakushauri sio mahali salama sana kwenda na watoto wa chini ya miaka sita (kwa mtaamo wangu)....pako juu sana na hakuna kingo za maana sana kwa usalama wa watoto wadogo hasa pale unapoelekea kwenye view point, karibu na vyumba vya kulala! Kumbuka soda tunayonunua huku buku mbili kule ni dola 10! otherwise it is a very beautiful place!
 
Kumbe wewe mkongwe eeh!
 
Nilifika lushoto, pale coast,1kile chuo cha sekuko, ila hiyo Irente sikuisikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…