Iringa for the first time in my life

Iringa for the first time in my life

Unaenda sehemu gani Iringa, town au wilayani?

1. Gari (Bus) panda ABC Upper Class
2. Lodge kaa budget iyo zipo nyingi ila usikae Ipogoro uku panda kule juu.
3. Beer unataka na huduma nyingine au bia tu?
Mjini. Nitakuwa dodoma saa9 nawezaunganisha
 
Unaenda sehemu gani Iringa, town au wilayani?

1. Gari (Bus) panda ABC Upper Class
2. Lodge kaa budget iyo zipo nyingi ila usikae Ipogoro uku panda kule juu.
3. Beer unataka na huduma nyingine au bia tu?
Hapana mkuu hizo huduma zingine situmii, nilionao wananitosha and nikizidiwa huwa nasafiri naye
 
Nenda kule Milimani Kilolo kuzuri kwani kuna mazingira mazuri, Gali ta hewa safi na zipo Guest nzuri za kisasa tu. Ni sehemu nzuri ya kupumzika kule.
 
Nitalala dodoma ndo nimeingia jion hii, nipo rora restaurant hapa napata dinner nikalale
 
Nitalala dodoma ndo nimeingia jion hii, nipo rora restaurant hapa napata dinner nikalale
Itakuwa unakuja kwenye maonesho ya utalii.. karibu kusini
Pamechangamkaaa wageni wengi logde Bila booking unaweza kukosa
 
Kwema waheshimiwa. Kesho nategemea kwenda iringa j2 nitakuwa napumnzika and j3 nitakuwa job. Nategemea kuwepo hapo hadi ijumaa so bandugu hebu niambieni viwanja vizuri vya kutembelea.

Lodge nzuri isiyozidi elf 30. Occasionally huwa natumia pombe bia 2 au 3, sipendi sehem zenye makelele na miziki mikubwa.

Napenda kukaa sehem zenye utulivu sana.
Its a best place to be... Mji hauna gharama kabisa. Utarudi na pesa yako Kama ulivyokuja nayo...
 
Back
Top Bottom