Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
- Thread starter
- #21
Alwwys kuna watu mnawaza upumbavu masaa yoteSema tu unataka kiburudisho hakuna cha unaenda kikaz hilo ni tangazo wacha wateja watakujia Pm boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alwwys kuna watu mnawaza upumbavu masaa yoteSema tu unataka kiburudisho hakuna cha unaenda kikaz hilo ni tangazo wacha wateja watakujia Pm boss
Afadhali wewe umeongea la maanahuko funga zipu ya mbele vizuri pamechafuka au la usisahau ndom
Mjini. Nitakuwa dodoma saa9 nawezaunganishaUnaenda sehemu gani Iringa, town au wilayani?
1. Gari (Bus) panda ABC Upper Class
2. Lodge kaa budget iyo zipo nyingi ila usikae Ipogoro uku panda kule juu.
3. Beer unataka na huduma nyingine au bia tu?
Malizia kabisa,ipo Kitanzini.Lodge nenda 5G
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Maeneo tulivu nenda sunset hotel, backyard lounge, savanna,mount royal hotel,n.k
Mziki nenda Miami, royal tour,warm up, luxury,n.k
NB: Nitafute sinywi bia zaidi ya 4
Kwa kuongezea tu huo mtaa una majini balaa.Malizia kabisa,ipo Kitanzini.
Hapana mkuu hizo huduma zingine situmii, nilionao wananitosha and nikizidiwa huwa nasafiri nayeUnaenda sehemu gani Iringa, town au wilayani?
1. Gari (Bus) panda ABC Upper Class
2. Lodge kaa budget iyo zipo nyingi ila usikae Ipogoro uku panda kule juu.
3. Beer unataka na huduma nyingine au bia tu?
Mi siogopi majini naogopa watuKwa kuongezea tu huo mtaa una majini balaa.
Majini kivipi?Kwa kuongezea tu huo mtaa una majini balaa.
Umempa location muhim Sana Kama Ni mdauKale kitimoto pale CcM
Nitaenda mkuuUmempa location muhim Sana Kama Ni mdau
Itakuwa unakuja kwenye maonesho ya utalii.. karibu kusiniNitalala dodoma ndo nimeingia jion hii, nipo rora restaurant hapa napata dinner nikalale
NoItakuwa unakuja kwenye maonesho ya utalii.. karibu kusini
Pamechangamkaaa wageni wengi logde Bila booking unaweza kukosa
Its a best place to be... Mji hauna gharama kabisa. Utarudi na pesa yako Kama ulivyokuja nayo...Kwema waheshimiwa. Kesho nategemea kwenda iringa j2 nitakuwa napumnzika and j3 nitakuwa job. Nategemea kuwepo hapo hadi ijumaa so bandugu hebu niambieni viwanja vizuri vya kutembelea.
Lodge nzuri isiyozidi elf 30. Occasionally huwa natumia pombe bia 2 au 3, sipendi sehem zenye makelele na miziki mikubwa.
Napenda kukaa sehem zenye utulivu sana.
Nishafika nipo nlienda kushangaa maonyesho kidogo kwa sasa nimepumnzika lodgeIts a best place to be... Mji hauna gharama kabisa. Utarudi na pesa yako Kama ulivyokuja nayo...