Uchaguzi 2020 Iringa: Mgombea Urais wa chama cha ADC, Queen Sendiga adai kupigwa makofi na watu wasiojulikana na kuvunjiwa kioo cha gari lake

Watajijua wenyewe na maccm yenzao huko hawa ndo wapiga kura ya maamuzi huko kamati ya maadili hovyo sana
Mkuu ilani yetu inazungumzia kutenda haki kwa watu wote.

Kuvunjwa kwa haki za John ni precedent ya kuvunjwa kwa haki za Swaibu pia.

Kukaa kwetu kimya ni kuunga mkono na wenzetu wakae kimya tutakapovunjiwa haki zetu sisi pia

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Chadema ndio wenye tabia za kupiga watu makofi, muache.
 
Afadhali ya Kofi kuliko
ndugu huo ndio ukweli ukisikia mtu kakutana na wasiojulikana ujue huyo ni marehemu tayari !

aliyemuambia wanapiga makofi tu ni nani ?
aache masihara kabisa
😀😀😄😄😁😆🤣😇
Au labda hata ngumi tu
 
Yule bodigadi wake mwanamama aliyepanda hewani alishindwa kuzuia Kofi?
 
Pole sana ndugu mgombea,

Hapo ndipo vijana wa ccm walipofikia
Mnaposhauriwa kuungana kusimamisha mgombea mmoja ninyi kama wapinzani tunamaanisha

Maana ccm huwa wanawashabikia na kuwatumia ili upinzani usipate nguvu kwa manufaa yao.

Na wakishamaliza kazi yao basi wanawatia makofi kama hivi

Saizi yao kwa sasa ni Chadema,
waungeni chadema mkono na maumivu yenu yapoe

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Yaani mgomgea kachapwa makofi? #ONLY IN TANZANIA na vyombo vya dola vipo tu vinaangalia
 
Hawa wagombea si wanapewa ulinzi na serikali? Mlinzi wake alikua wapi?
 
mzee wa ubwabwa yupo wapi simsikii kabisa pumzi imekata nini....naona anashindwa na mama sandiga. Mama sandiga anaonekana kuwa na pumzi ya katafuta kura....safi sana ni mfano mzuri kwa kina mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…