Sales93
Senior Member
- Mar 5, 2014
- 146
- 73
Habarini za asubuhi wanajamvi,
Ni matumaini yangu nyote mmeamka salama.
Bila kuwachosha ningependa kuomba msaada kwa mtu yoyote anayefahamu sehemu ambayo wananunua na kuuza vitu used vya majumbani au maofisini kwa upande wa Iringa mjini.
Nitashukuru sana kwa msaada.
Ni matumaini yangu nyote mmeamka salama.
Bila kuwachosha ningependa kuomba msaada kwa mtu yoyote anayefahamu sehemu ambayo wananunua na kuuza vitu used vya majumbani au maofisini kwa upande wa Iringa mjini.
Nitashukuru sana kwa msaada.