Iringa: Mkazi wa Dar akamatwa baada ya kuzidiwa akisafirisha Dawa za Kulevya alizomeza

Seriously?
Sio hasara huyu punda akili Hana ,mzunguko ulikua mrefu Sana masaa kibao katumia njaini ,muda ambao tumbo limeaza kumgonga ndomuda sahihi alitakiwa awe bandarini akipakua mzigo ,jiulize Angelipita njia ya mtwara ambapo ,nimikoa miwili TU kaingia dar , sidhani kama alipakiwa mzigo mkubwa kushusha Mikoa yahuko alikopita
 
Kumeza vitu visivyosagika tumboni siyo masihara....

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…