Itakuwa aliwakuta madoctor walokole.....walokole wakuda kweli wakati Kwa church full kukulana🙄Faida zinazid hasara lakin mana ngada lipo mtaaa na wanakamatwa mara chache ka ajali za ndege na meli...
Sasa mwamba si angewapa madokta mgao wapige kimya
Si ndio hapo. Yani huo anapita nao na backpack kiulaini kabisa.Upuuzi, unatoka Msumbiji na Mzigo, unameza kwa nini!?
Wakati alikua anaweza kusafiri nazo bila kuzimeza na zikafika salama.
Mbina hata magu na yy kafaTutakukumbuka sana Dkt Magufuli, vijana sasa taifa limeruhusu wafe kwa madawa, hakika hili kundi lina power
Sio hasara huyu punda akili Hana ,mzunguko ulikua mrefu Sana masaa kibao katumia njaini ,muda ambao tumbo limeaza kumgonga ndomuda sahihi alitakiwa awe bandarini akipakua mzigo ,jiulize Angelipita njia ya mtwara ambapo ,nimikoa miwili TU kaingia dar , sidhani kama alipakiwa mzigo mkubwa kushusha Mikoa yahuko alikopitaSeriously?
Kumeza vitu visivyosagika tumboni siyo masihara....Sio hasara huyu punda akili Hana ,mzunguko ulikua mrefu Sana masaa kibao katumia njaini ,muda ambao tumbo limeaza kumgonga ndomuda sahihi alitakiwa awe bandarini akipakua mzigo ,jiulize Angelipita njia ya mtwara ambapo ,nimikoa miwili TU kaingia dar , sidhani kama alipakiwa mzigo mkubwa kushusha Mikoa yahuko alikopita
Nashangaaa, au angeenda chooni wanaposimama gari ktk sehemu za hotelKama ni kwa haja kubwa alishindwa vipi kuzitolea porini mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hizi bumps za tanrods lazm tumbo livuruge [emoji38] mpaka nahisi zimewekwa kwa ajili ya hawa wameza ngada
Nikionaga hizi emoj najua upo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipooo nimejaa telee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikionaga hizi emoj najua upo mkuu
Hata angekaza Ultrasound, x ray ama CT scan ya tumbo ingemuumbuaJamaa kaogopa kufa aseee kashindwa kukaza
Inaonekana hakuwa na mawasiliano na Kingpin.Kama ni kwa haja kubwa alishindwa vipi kuzitolea porini mwenyewe
Nahisi zilikwama (constipated) ikabidi awekewe vilainisha choo kikubwa (suppository).Kama ni kwa haja kubwa alishindwa vipi kuzitolea porini mwenyewe
Uelewa finyu.Kwanini asinunue laxatives za kutosha. Anashuka anatafuta gesti fasta na kuharisha vya kutosha. Jamaa muogamuoga sana.
Hawa si mafia hivyo vitendea kazi walitakiwa wawe navyo sasa 😃Nahisi zilikwama (constipated) ikabidi awekewe vilainisha choo kikubwa (suppository).
Ni hatari sana eti dada?Madawa....nilinisurika kuingia kwenye hii biashara enzi hizo....za ulimnwende natamanigi kuanzisha Uzi ila wenye biashara zao wapo Bado na makucha....
Ni "saiko" kubwa sana....
Yaani aiseee
Eeeeeh walimbwende weeeenhi walioko mjini wallulize lounge flan mjini kati hapo pakuitwa posta wanajllua habar yakeNi hatari sana eti dada?