Iringa: Mkazi wa Dar akamatwa baada ya kuzidiwa akisafirisha Dawa za Kulevya alizomeza

Mwamba nae kajizungusha sana, kupita Mbeya kutokea msumbuji ni njia ndefu mno, alikuwa apite Mtwara tu
 
Punda Wamerudi Kwa Kazi, Muhari Unaimaliza Tanzania
Mzilankende Hakutaka Kubembeleza
 
Mwamba nae kajizungusha sana, kupita Mbeya kutokea msumbuji ni njia ndefu mno, alikuwa apite Mtwara tu
Kama ametoka nazo Beira au Maputo njia rahisi na ya haraka kufika Dar (masaa 72) ni Malawi. Kuna kipindi jimbo la kaskazini linakuwa halina mawasiliano na Beira aidha kwa mvua au waasi.
 

Ushahidi huo utunzwe sasa.maana sometimes hizo pipi zikifikishwa kwa mkemia mkuu zinageukaga kuwa pipi kifua halisi
 
Ushahidi huo utunzwe sasa.maana sometimes hizo pipi zikifikishwa kwa mkemia mkuu zinageukaga kuwa pipi kifua halisi
Unadhani mkemia mkuu hajipendi kwa kuzuia mzigo wa wakuu.....hiyo imeisha mzigo umefika salama licha ya kupitia changamoto ndogo ndogo
 
Alifika tayari Mbeya, kulikuwa na haja gani ya kuendelea kuutunza mzigo tumboni?
 
Sina uzoefu na hizi mambo ila nimesafiri sana ila sijawahi kukaguliwa kwa experience hiyo kama hazina harufu ya kuzitambulisha hata kwenye beg dogo angebeba kisha anaweka kwenye carriar ya gari ya ndani na hakuna baya tena yaani unasafirisha utajiri kitajiri na ukipewa mpunga unapita kidimbwi au samakisamaki unakula raha hamna shida
 
Siku utakayobeba ndio utakayokaguliwa
 
Jiografia imenichanganya kidogo, Msumbiji inapakana na mikoa ipi?

Ama mimi ndo sielewi hapa.

Hii kitu ni uwongo mtupu walahi, maana alisha vuka boda na kwa nini hakutafuta gesti akazitoa?
Alafu Msumbiji haiko huko kama avyo dai mleta mada!
Newzzz za kahawa![emoji1787][emoji1787]
 
Hayo madawa atarudishiwa na Safari itaendelea, kuanzia uzaliwe umewahi kumsikia muuza nganda amehukumiwa kufungwa Tanzania? Hata wale wakionyang'anywa Mali zao na mwamba kwenye plea bargain wanarudishiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…