Mikoa ya Iringa na Mbeya inaongoza kwa kuwa na watoto wenye udumavu 👇Dar, Kilimanjaro zaongoza wenye ‘viriba tumbo’
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tunambiea kuwa kunamzunguko mkubwa wa hela? Tulishawambiaga mkoa kuwa na pato kubwa sio lazima wakazi wake wawe na maisha bora ,imagine ambao kimsingi ni mkoa wa tatu wa kipato ila ndio unaatapiamlo wa kutishaMbeya inakuwaje na utapiamlo? Iringa sawa maana chakula chao ni ugali 24/7/365 hawana mlo mwingine! Ila Mbeya ni uzembe wa hali ya juu.
Nyama ni chakula bora sana.Vyakula vya DSM ni Minyama nyama tuuu , michipsi , kazi zenyewe mahofsini na kukaa dukani ni mwendo wa Kuota matambi tuu