Iringa na Mbeya zaongoza kwa utapiamlo

Iringa na Mbeya zaongoza kwa utapiamlo

Vyakula vya DSM ni Minyama nyama tuuu , michipsi , kazi zenyewe mahofsini na kukaa dukani ni mwendo wa Kuota matambi tuu
 
Mbeya inakuwaje na utapiamlo? Iringa sawa maana chakula chao ni ugali 24/7/365 hawana mlo mwingine! Ila Mbeya ni uzembe wa hali ya juu.
 
Mbeya inakuwaje na utapiamlo? Iringa sawa maana chakula chao ni ugali 24/7/365 hawana mlo mwingine! Ila Mbeya ni uzembe wa hali ya juu.
Si tunambiea kuwa kunamzunguko mkubwa wa hela? Tulishawambiaga mkoa kuwa na pato kubwa sio lazima wakazi wake wawe na maisha bora ,imagine ambao kimsingi ni mkoa wa tatu wa kipato ila ndio unaatapiamlo wa kutisha
 
Vyakula vya DSM ni Minyama nyama tuuu , michipsi , kazi zenyewe mahofsini na kukaa dukani ni mwendo wa Kuota matambi tuu
Nyama ni chakula bora sana.
 
Back
Top Bottom