Iringa University

Muamala

Member
Joined
Aug 10, 2013
Posts
69
Reaction score
10
Naomba msaada kutoka kwenu wanajf ni lini first year wa degree wanatakiwa kwenda chuoni? Nikifungua website yao kuna sehemu wameweka important dates ambapo inaonesha wanatakiwa 21st, October wakati joining instruction inaonesha 3rd, October, msaada wakuu kwa mwenye uhakika na tarehe hizi anijuze
 
Pole ndugu yangu kwa majibu machafu uliyotandikwa....

Vuta subira tuu,watakuja waungwana na wastaarabu wa Iringa University,watakujuza vizuri....
 
Pole ndugu yangu kwa majibu machafu uliyotandikwa....

Vuta subira tuu,watakuja waungwana na wastaarabu wa Iringa University,watakujuza vizuri....

heee jamani majibu machafu yakowapi sasa ndugu?
 
oh ndo eeff unaenda et enhe


Kijana acha dharau na fedhuli...

Hivi ulivyobahatisha yale magofu ya sua, ndiye ukadhani wewe ndio uluyefaulu kuliko kila mtu...?

Jaribu kuheshimu utu wa mtu, otherwise people will commence judging your idiocy...
 
Kijana acha dharau na fedhuli...

Hivi ulivyobahatisha yale magofu ya sua, ndio ukadhani wewe ndio umefaulu kuliko kila mtu...?

wewe nimepiga kitu cha 1.5 zen mkopo mier najua we wa teku wivu 2
 
wewe nimepiga kitu cha 1.5 zen mkopo mier najua we wa teku wivu 2


Ain't havin' no clock to argue with a mediocre....

Keep at the back of your mind that I'm at the most exorbitant university on this land....
 
Mleta uzi....

Nahisi kusema Iringa university, ulikuwa unamaanisha Tumaini University,Iringa campus....

Chuo kitafunguliwa 21st of oct. Na oriantation course itaanza siku hiyo hiyo....
Wahi kuripoti ili usecure nafasi za accomodatio,kwani rooms are limited, they'll offer them to those who will appear first- 1st come 1st served....

Mahitaji yao ni mengi sana katika kupata usajili chuoni....
So ni bora uingie kwenye web yao,then uende direct kwenye JOINING INSTRUCTION

www.tumaini.ac.tz
 

Mkuu Paparazi,

Hicho chuo nowdayz kina itwa Iringa university . Kimeshajitoa Kuwa chini ya Tumaini.
Inasemekana chanzo ni mgao wa pesa uliokuwa unatoka chuoni kwenda Tumaini ulikuwa
Mkwanja mrefu sana. Askofu wao akaamua bora wajitoe na wakisimamie wao wenyewe kama Dayosisi ya Iringa .
 


Umenisugua bongo mkuu apple....
Thumb up
 
Last edited by a moderator:
Ni 21 octoba siku za hivi karibuni kwenye web yao wameweka orodha ya walochaguliwa na joining ya first degree usihofu tutakutana huko huko pamoja ndg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…