Anawaangukia wajinga, Kilimanjaro ndio mkoa pekee sijawahi ona huu ujinga wa kupiga magoti na kulia, Hii inafanyika kwenye zone zilizo jaaa wajinga wa hili Taifa.
Na wajinga watamuelewa, watamuonea huruma, akitoka hapo anenda kulala hapo Iringa mjini hoteli ya nyota 4. wajinga wanaenda nyumani kulala njaa au kunywa uji au ugari mchicha.