Iringa: Wanaswa wakimchuna mbwa kwa ajili ya kitoweo

Iringa: Wanaswa wakimchuna mbwa kwa ajili ya kitoweo

Bull Bucka

Member
Joined
Oct 5, 2023
Posts
34
Reaction score
46
Wananchi wanne wa Kijiji cha Ugwachanya Kilichopo Kata ya Mseke Mkoani Iringa wamekutwa wakimchuna Mbwa kwa ajili ya maandalizi ya nyama.

Akizungumzia kuhusu Mkasa huo Mmiliki wa Mbwa huyo Bi. Veronica amesema kuwa alipata taarifa ya Mbwa wake kupotea ambapo alifanya jitihada za kumtafuta na kuwakuta watuhumiwa wanne ambao ni Nicholaus lunyungu, Kalista Mhenzi, Jane kihaga na Charles Kihaga wakiwa wanamchuna Mbwa wake.

Amesema kuwa aliwakuta watu hao wakimchuna Mbwa huyo huku wakimwita mmiliki huyo kwa ajili yakuzungumza faragha jambo ambalo alilipinga na kuwaita majirani kwani tukio la kupotea mbwa mtaani hapo limekuwa likijirudia.

Kwa upande wao wao wanaotuhumiwa kumchuna mbwa huyo wamesema kuwa walimkuta mwenzao Kalista Mhenzi akimchuna Mbwa mara baada ya kusikia vishindo ndani kwake.

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Igavilo Kijiji cha Ugwachanya Bi Ester Mkini amekiri kuwepo kwa tukio la Mbwa kuchunwa kwa ajili ya nyama ambapo watuhumiwa hao wanaitumia kwa ajili ya kula wao wenyewe.

Aidha amewaonya wananchi wa eneo lake kuacha tabia hiyo kwani haikubaliki huku watuhumiwa wa tukio hilo wakishurutishwa kununua mbwa mwingine na kumkabidhi mmiliki wake.

Chanzo: NURU FM, Iringa
 
Mbwa mtamu sana, hongera yao walaji
 
Wananchi wanne wa Kijiji cha Ugwachanya Kilichopo Kata ya Mseke Mkoani Iringa wamekutwa wakimchuna Mbwa kwa ajili ya maandalizi ya nyama.

Akizungumzia kuhusu Mkasa huo Mmiliki wa Mbwa huyo Bi. Veronica amesema kuwa alipata taarifa ya Mbwa wake kupotea ambapo alifanya jitihada za kumtafuta na kuwakuta watuhumiwa wanne ambao ni Nicholaus lunyungu, Kalista Mhenzi, Jane kihaga na Charles Kihaga wakiwa wanamchuna Mbwa wake.

Amesema kuwa aliwakuta watu hao wakimchuna Mbwa huyo huku wakimwita mmiliki huyo kwa ajili yakuzungumza faragha jambo ambalo alilipinga na kuwaita majirani kwani tukio la kupotea mbwa mtaani hapo limekuwa likijirudia.

Kwa upande wao wao wanaotuhumiwa kumchuna mbwa huyo wamesema kuwa walimkuta mwenzao Kalista Mhenzi akimchuna Mbwa mara baada ya kusikia vishindo ndani kwake.

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Igavilo Kijiji cha Ugwachanya Bi Ester Mkini amekiri kuwepo kwa tukio la Mbwa kuchunwa kwa ajili ya nyama ambapo watuhumiwa hao wanaitumia kwa ajili ya kula wao wenyewe.

Aidha amewaonya wananchi wa eneo lake kuacha tabia hiyo kwani haikubaliki huku watuhumiwa wa tukio hilo wakishurutishwa kununua mbwa mwingine na kumkabidhi mmiliki wake.

Chanzo: NURU FM, Iringa
ahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!,,,du!!!!
 
Ishu si kukutwa wanachuna mbwa ngozi, ishu mbwa ni wa wizi.

Maana kichwa cha habari ni kama vile mbwa haliwi..
(nimekomenti nikiwa na akili za kihehe) 😂
Ha haa. Tumegawana.
Sie tunakula punda!
Mt wanakula panya.
 
Halafu Iringa haitoi wanariadha kitaifa. Shida nini?
 
Kwa Iringa haishangazi

Jasiri haachi asili

Waendeshe kesi taratibu hao Wahehe wasiamue kujinyonga wote
 
Ishu si kukutwa wanachuna mbwa ngozi, ishu mbwa ni wa wizi.

Maana kichwa cha habari ni kama vile mbwa haliwi..
(nimekomenti nikiwa na akili za kihehe) 😂
Yaani kama wengine wanavyoiba mbuzi au ng'ombe vile
 
Wananchi wanne wa Kijiji cha Ugwachanya Kilichopo Kata ya Mseke Mkoani Iringa wamekutwa wakimchuna Mbwa kwa ajili ya maandalizi ya nyama.

Akizungumzia kuhusu Mkasa huo Mmiliki wa Mbwa huyo Bi. Veronica amesema kuwa alipata taarifa ya Mbwa wake kupotea ambapo alifanya jitihada za kumtafuta na kuwakuta watuhumiwa wanne ambao ni Nicholaus lunyungu, Kalista Mhenzi, Jane kihaga na Charles Kihaga wakiwa wanamchuna Mbwa wake.

Amesema kuwa aliwakuta watu hao wakimchuna Mbwa huyo huku wakimwita mmiliki huyo kwa ajili yakuzungumza faragha jambo ambalo alilipinga na kuwaita majirani kwani tukio la kupotea mbwa mtaani hapo limekuwa likijirudia.

Kwa upande wao wao wanaotuhumiwa kumchuna mbwa huyo wamesema kuwa walimkuta mwenzao Kalista Mhenzi akimchuna Mbwa mara baada ya kusikia vishindo ndani kwake.

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Igavilo Kijiji cha Ugwachanya Bi Ester Mkini amekiri kuwepo kwa tukio la Mbwa kuchunwa kwa ajili ya nyama ambapo watuhumiwa hao wanaitumia kwa ajili ya kula wao wenyewe.

Aidha amewaonya wananchi wa eneo lake kuacha tabia hiyo kwani haikubaliki huku watuhumiwa wa tukio hilo wakishurutishwa kununua mbwa mwingine na kumkabidhi mmiliki wake.

Chanzo: NURU FM, Iringa
Sasa kosa hapo ni lipi? Kuchuna mbwa au kuiba mbwa?
Ila turudi kwenye uhalisia nyama ya mbwa ni tamu sana!!!!
 
Wananchi wanne wa Kijiji cha Ugwachanya Kilichopo Kata ya Mseke Mkoani Iringa wamekutwa wakimchuna Mbwa kwa ajili ya maandalizi ya nyama.

Akizungumzia kuhusu Mkasa huo Mmiliki wa Mbwa huyo Bi. Veronica amesema kuwa alipata taarifa ya Mbwa wake kupotea ambapo alifanya jitihada za kumtafuta na kuwakuta watuhumiwa wanne ambao ni Nicholaus lunyungu, Kalista Mhenzi, Jane kihaga na Charles Kihaga wakiwa wanamchuna Mbwa wake.

Amesema kuwa aliwakuta watu hao wakimchuna Mbwa huyo huku wakimwita mmiliki huyo kwa ajili yakuzungumza faragha jambo ambalo alilipinga na kuwaita majirani kwani tukio la kupotea mbwa mtaani hapo limekuwa likijirudia.

Kwa upande wao wao wanaotuhumiwa kumchuna mbwa huyo wamesema kuwa walimkuta mwenzao Kalista Mhenzi akimchuna Mbwa mara baada ya kusikia vishindo ndani kwake.

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Igavilo Kijiji cha Ugwachanya Bi Ester Mkini amekiri kuwepo kwa tukio la Mbwa kuchunwa kwa ajili ya nyama ambapo watuhumiwa hao wanaitumia kwa ajili ya kula wao wenyewe.

Aidha amewaonya wananchi wa eneo lake kuacha tabia hiyo kwani haikubaliki huku watuhumiwa wa tukio hilo wakishurutishwa kununua mbwa mwingine na kumkabidhi mmiliki wake.

Chanzo: NURU FM, Iringa
waachie mara moja! Hyo ni nyama nzur sana ukibanika unywee na ulanzi. Xmass lazma nirud tosa njia panda.
 
Kumbe story za iringa kula mbwa ni kweli aisee
 
Back
Top Bottom