Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Jana 2.9.22 majira ya saa saba mchana police walionekana kuwakamata wapiga debe maeneo mbalimbali ya mji wa Iringa ikiwemo pale daraja la mto Ruaha, polisi hao walimkimbiza mmoja wa wapiga debe naye akakimbila kwa kasi kuelekeo unakotokea mto Ruaha.
Hata hivyo polisi hao hawakukata tamaa wakaenda naye hata walipofika mbele kukawa na watu wengine wanaoga ndani ya mto Ruaha walipoona mtu anapita anakimbia na nyuma yake wanakuja polisi, na wao wakatoka kwenye maji wakaungana naye mbio kuelekea upande allikokuwa anakwenda huyo aliyeanza kukimbizwa na polisi huku wameacha nguo kando ya mto bila kujua aliyeko mbele anakimbizwa kwa kosa gani huku polisi wakizidi kuongezeka.
Huu ni mwanzo mzuri wa kupunguza kero kwenye stand zza mabasi.
Hata hivyo polisi hao hawakukata tamaa wakaenda naye hata walipofika mbele kukawa na watu wengine wanaoga ndani ya mto Ruaha walipoona mtu anapita anakimbia na nyuma yake wanakuja polisi, na wao wakatoka kwenye maji wakaungana naye mbio kuelekea upande allikokuwa anakwenda huyo aliyeanza kukimbizwa na polisi huku wameacha nguo kando ya mto bila kujua aliyeko mbele anakimbizwa kwa kosa gani huku polisi wakizidi kuongezeka.
Huu ni mwanzo mzuri wa kupunguza kero kwenye stand zza mabasi.