Iringa: Wawili wahofiwa kuwa na MPox, Daktari atoa tahadhari

Iringa: Wawili wahofiwa kuwa na MPox, Daktari atoa tahadhari

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Wizara ya Afya Tanzania ingetoa takwimu za ukweli watu wakachukua tahadhari kuliko kusema kuna watu wawili halafu watu wanaibuka kutoka sehemu mbalimbali wakiwa wanaumwa na kupika kauli hiyo.

==

Kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani nchini (mpox), Daktari Godfrey Mtunzi Kutoka Manispaa ya Iringa Amethibitisha uwepo wa Wagonjwa Wawili wenye Viashiria vya Ugonjwa Wa Nyani (MPOX) naVipimo Vimepelekwa Maabara Kuu Ili Kupata Uhakika wa Ugonjwa Huo.



Pia soma:
Wizara ya Afya yathibitisha uwepo wa wagonjwa wawili wa Mpox nchini
 
Kuficha taarifa za ugonjwa huu wa mpox ,serikali inakosea sana,sana,tu.tunapoelekea viongozi wanalinda vyeo vyao tukwa hiyo kazi yao ni kukanusha tu ma
ra hakuna mgonjwa mara Kuna wagonjea wawili upuuuzi mtupu.tanzania imepotoza uelekeo wa nchi makini kabisa,ebu angalieni hata caf wamefunhoa uwanjan wa mkapa aibu tupu .uwanjan unakarabatiwakwa mabilion eti,wizi ,unafiki,
 
kesho utasikia wachungaji na mashaik wataliombea taifa ugonjwa utoweke.😂
 
Kuficha taarifa za ugonjwa huu wa mpox ,serikali inakosea sana,sana,tu.tunapoelekea viongozi wanalinda vyeo vyao tukwa hiyo kazi yao ni kukanusha tu ma
ra hakuna mgonjwa mara Kuna wagonjea wawili upuuuzi mtupu.tanzania imepotoza uelekeo wa nchi makini kabisa,ebu angalieni hata caf wamefunhoa uwanjan wa mkapa aibu tupu .uwanjan unakarabatiwakwa mabilion eti,wizi ,unafiki,
Sasa waseme watu kumi au mia wagonjwa wakati hospital hakuna hao watu?..mbona mnakuaga wajinga!?
 
Kuficha taarifa za ugonjwa huu wa mpox ,serikali inakosea sana,sana,tu.tunapoelekea viongozi wanalinda vyeo vyao tukwa hiyo kazi yao ni kukanusha tu ma
ra hakuna mgonjwa mara Kuna wagonjea wawili upuuuzi mtupu.tanzania imepotoza uelekeo wa nchi makini kabisa,ebu angalieni hata caf wamefunhoa uwanjan wa mkapa aibu tupu .uwanjan unakarabatiwakwa mabilion eti,wizi ,unafiki,
Jiwe aliificha covd,hatimaye haikumuacha salama hadi yeye mwenyewe! Kwahiyo hata wao pia ni suala la muda tu.
 
Kama vyombo vya habari vilikuwa vinaogopa kureport vifo vinavyotokana na kipindupindu, sitegemea kwenye hili. Kila mtu ajiongeze, tutalishwa story za Simba na Yanga mwezi wote huu
 
Back
Top Bottom