Ile ilikua vita tu kwa media ila kwa uwezo Tyson ni mzuri kuliko Ali.
Mapambano mengi ali alikua anashinda kwa pointi.
Ukifanya uchambuzi wa kuanzia pambano la kwanza la Ali hadi la Mwisho na Ali na kisha ukafanya na Tuson utaelewa.
Hata kwenye ubingwa, Ali alikua hawezi kutetea ubingwa wake kwa muda mrefu, alikua anachukua, kesho wanamnyanganya, keshokutwa anachukua hivyo. Mimi naona hata mtu kama Larry Holmes ambae ametetea mkanda wake kwa miaka karibu 6 kwa kupigana zaidi ya mapambano 20 ni mzuri kuliko Ali.
Ali alikua celebrity boxer.